Wanawake acheni ujinga. Kuvaa mipira hii ya makalio kuna madhara makubwa sana. Hizo kitu zinataka hewa

Wanawake acheni ujinga. Kuvaa mipira hii ya makalio kuna madhara makubwa sana. Hizo kitu zinataka hewa

Wanaojielewa huwa hawahangaiki na mavitu feki hayo...
 
an
Ajabu unae umia ni wee mwanaume, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mdomo komaa, Jah nisaidie kunyamaza. Uwiiiiiih
anaumia kwa sababu yeye ndio mtumiaji mkuu wa hiyo bidhaa mnayoiharibu kwa haya majaza makalio yenu
 
Kuna wale wanaokwenda uturuki wanapasuliwa na kuwekewa maputo kwenye makalio na hips. Hawa watu wasubiri mateso ya uzeeni
 
Kuna wale wanaokwenda uturuki wanapasuliwa na kuwekewa maputo kwenye makalio na hips. Hawa watu wasubiri mateso ya uzeeni
nahisi hawajui madhara yake au ndo wale wanaosema bora ulie ukiwa kwenye Benzi badala ya baiskeli.
 
Back
Top Bottom