Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Duuuh
 
Ningemuacha nione mwisho wake, na hv hana uume hata nisingeogopa.. ngoja siku msagaji anitongoze ntatulia nione mwisho wake
 
Eeeeehh kwani jamaa alimtaja huyo?
Ni huyo hakuna mwingine hapo kutoka Kwa mengi Hadi itv,Nani mwingine? Na story za town ni hizo kumhusu huyo jamaa au kuna mwingine?
 
Wewe Kibabu kafariki lini?? Na mashauzi pub yake pale Majengo! Mimi nimesoma na mdogo wake Aaron Seda Buluba Secondary (Sioi) pia na yeye ni Marehemu alifariki mwaka 2013 nadhani kwa ajali ga gari huko Mtwara alikua anasoma Chuo cha Saut, Mtwara!
Daah, umenikumbusha Aaron Seda nimesoma nae mwenge singida, alifariki kwa ajari ya gari mtwara wanatoka disko kwa kweka daaah, umenikumbusha Aaron R.I.P mate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…