Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Nashukuru Mungu nilinusurika nikiwa chuo, kuna Dada wawili walinipenda sana na kunisifia wa kwanza nilikuwa nikiingia darasa nikikaa yeye atakaa upande wa pili tunatazamana kila siku hadi aliposema kwamba yeye hukaa upande ule ili aangalie miguu na mapaja yangu maana hata mwalim akifundisha yeye huwa hamsikilizi nikacheka baadae wafanyakazi wenzake wakaniita wakaniambia S angalia kaa mbali na D si mzuri kwako hivyo kakutamkia mbele yetu hata siku moja usikubali kuwa naye popote kuanzia hapo nikawa namuogopa sana na nikawa sikaribishi mazungumzo na yeye. Wa pili kutoka kampuni hiyo hiyo yeye alikuwa mama mtu mzima kidogo kila siku akiniona ananichangamkia sana baadae akaanza S karibu kwangu, mara utakuja nitembelea lini siku hiyo nikamwambia shoga yangu wanafanya naye akasema nikae mbali na Dada A tena nisimchekee kabisa, huyu ni msagaji duu nilishangaa sana kampuni inawasagaji wawili? Akasema mbona ni wengi tu huko kazini, nilisoma kwa taabu maana akiniangalia tu nakosa amani, nashukuru baada ya kuwachunia hawakunifuata wala kuniambia tena, hawa watu wa ajabu Mimi nilikuwa najua labda wenye pesa ndio wasagaji kumbe hata akina kapuku wapo.
Duuuh
 
Ningemuacha nione mwisho wake, na hv hana uume hata nisingeogopa.. ngoja siku msagaji anitongoze ntatulia nione mwisho wake
 
Eeeeehh kwani jamaa alimtaja huyo?
Ni huyo hakuna mwingine hapo kutoka Kwa mengi Hadi itv,Nani mwingine? Na story za town ni hizo kumhusu huyo jamaa au kuna mwingine?
 
Wewe Kibabu kafariki lini?? Na mashauzi pub yake pale Majengo! Mimi nimesoma na mdogo wake Aaron Seda Buluba Secondary (Sioi) pia na yeye ni Marehemu alifariki mwaka 2013 nadhani kwa ajali ga gari huko Mtwara alikua anasoma Chuo cha Saut, Mtwara!
Daah, umenikumbusha Aaron Seda nimesoma nae mwenge singida, alifariki kwa ajari ya gari mtwara wanatoka disko kwa kweka daaah, umenikumbusha Aaron R.I.P mate
 
Back
Top Bottom