luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Nimebaki njia panda nipe codesHuyo number 6 hajifichi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimebaki njia panda nipe codesHuyo number 6 hajifichi
DuuuhNashukuru Mungu nilinusurika nikiwa chuo, kuna Dada wawili walinipenda sana na kunisifia wa kwanza nilikuwa nikiingia darasa nikikaa yeye atakaa upande wa pili tunatazamana kila siku hadi aliposema kwamba yeye hukaa upande ule ili aangalie miguu na mapaja yangu maana hata mwalim akifundisha yeye huwa hamsikilizi nikacheka baadae wafanyakazi wenzake wakaniita wakaniambia S angalia kaa mbali na D si mzuri kwako hivyo kakutamkia mbele yetu hata siku moja usikubali kuwa naye popote kuanzia hapo nikawa namuogopa sana na nikawa sikaribishi mazungumzo na yeye. Wa pili kutoka kampuni hiyo hiyo yeye alikuwa mama mtu mzima kidogo kila siku akiniona ananichangamkia sana baadae akaanza S karibu kwangu, mara utakuja nitembelea lini siku hiyo nikamwambia shoga yangu wanafanya naye akasema nikae mbali na Dada A tena nisimchekee kabisa, huyu ni msagaji duu nilishangaa sana kampuni inawasagaji wawili? Akasema mbona ni wengi tu huko kazini, nilisoma kwa taabu maana akiniangalia tu nakosa amani, nashukuru baada ya kuwachunia hawakunifuata wala kuniambia tena, hawa watu wa ajabu Mimi nilikuwa najua labda wenye pesa ndio wasagaji kumbe hata akina kapuku wapo.
Wape hai Doha hapoMimi niko Qatar hapa waarabu wanapenda sana hizo mambo. Dah yani unakuta shekhe kabisa na kanzu take swaafi na swala tano kumbe analika vizuri tu halafu mata.ko yap sasa walaini balaa..dah ..ee Mungu niepushe na hii dhambi
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Akifariki kwa kisa gan?Daaah..kibabu nilisoma nae..alikua ana element hizo toka mdogo..kiujumla familia yake walikua hivyo..very sad aseee.R.I.P kibabu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Namba 5 haihitaji hata Phd kujua,hata mwonekano tu anaonyesha
Nimebaki njia panda nipe codes
Ben kinyaiaNimebaki njia panda nipe codes
Natafuta boyfriend Jaman
Aina noma boss huku life ni swaafi sana ..Wape hai Doha hapo
WanashindanaAisee ,wanaume wnaavyozidi kuwa mashoga na wanawake ndio wanazidi kutoa tigo aisee
[emoji54]Natafuta boyfriend Jaman
Eeeeehh kwani jamaa alimtaja huyo?Kwani mahela kaenda lini mawingu?
mradiProject kwa kiswahili inaitwaje??
Ni huyo hakuna mwingine hapo kutoka Kwa mengi Hadi itv,Nani mwingine? Na story za town ni hizo kumhusu huyo jamaa au kuna mwingine?Eeeeehh kwani jamaa alimtaja huyo?
Daah, umenikumbusha Aaron Seda nimesoma nae mwenge singida, alifariki kwa ajari ya gari mtwara wanatoka disko kwa kweka daaah, umenikumbusha Aaron R.I.P mateWewe Kibabu kafariki lini?? Na mashauzi pub yake pale Majengo! Mimi nimesoma na mdogo wake Aaron Seda Buluba Secondary (Sioi) pia na yeye ni Marehemu alifariki mwaka 2013 nadhani kwa ajali ga gari huko Mtwara alikua anasoma Chuo cha Saut, Mtwara!
Projects??
Afadhali umerudi mkuuNipo aisee ...sasa hivi utakuwa unaniona
Soma namba 5 ya hiyo original meseji nilo replyToa codes mkuu