Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Dhuuuuu Sasa alienda akakusaga
Na laki akakupa
 
Heeeee! Mabwaku. Lakini bora wanawake, hamna uume.
 
Kuna ugali nyama choma tamu sana pale, sijapita muda sijui bado wako vzr.


 
Hahahaaa. Bila shaka jamaa yako alikutana na Kiringo.
 
Ukaliwa au ulimtapeli?
 
Shikamoo Madame B
 
Sikumbuki kutongozwa live na msagaji ila kuna dada nilikutana nae Sinza alikua na rafiki zangu wa kiume. Nilivyoenda hiyo bar nikamkuta. Tukajikuta tunapiga story balaa na mwishoni akaniomba namba nikampa sababu aliniambia anaandaa event mkoa fulani hivyo niende nikampe kampani kama naweza nikamwambia hamna shida. Nilichukua namba yake ila sikumtafuta sababu sikuona cha kuongea nae.
Siku moja napitia status za rafiki angu mara nikamuona yule msichana. Nikamuuliza unamjua huyu akasema eeh namjua we unamjua pia. Nikamwambia huyu ndo yule mdada mzuri niliekwambia nilikutana nae Sinza akanipa namba yake. Huyo rafiki angu alicheka jamani. Akasema nishukuru nimekuokoa. Angekusaga huyu. Huyu ni msagaji maarufu sana dodoma. Yani kujifanya hupendi michezo ya ajabu huyu angekusaga nakwambia maana mngesafiri ungelala nae kitanda kimoja ukijua mwanamke mwenzio kumbe anakumendea.
 
Hahahaaa [emoji3] [emoji3] kuliwa mkundu Co mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…