Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

hahahaaa umenikumbusha jamaa yangu alikuwa na kapikipiki kake akitoke kati ya mji, akaona sio kesi ngoja apitie pale kwa macheni, alipofika pale akaagiza bia zake mbili, akazikata fasta, ghafla akaja muhudumu na bia mbili zingine, akamwambia jamaa yako amekuagizia, mwana bila kujiuliza akapiga, ataka kumaliza, zikaja tena mbili, mmh, jamaa akauliza ni nani anakutuma akaambiwa jamaa yule pale, kidogo ukaja mchemsho, jamaa kichwa ikaanza kuchaji, akaona hapa lazma nimuone anayeniagizia, wakati anamaliza mchemsho sasa ndio likaja pandikizi la dume, na yeye ndio anainuka, kwanza akashikwa tako, dah jamaa akahamaki, akaambiwa tulia kijana, mambo madogo tu haya, usijali utazoea unaonekana we ni mpya mambo haya bado huna uzoefu nayo, usijali hata wenzako walikuwa wakali kama wewe, akashikwa tena tako, janaa ilimchomoka ngumi moja matata sana, yule bazazi chali, damu kibao, cha ajabu alipoinuka akamuagizia aletewe bia tatu, kwani kijana anaonekana sildi, mshikaji alivyosikia hivyo akaanza kukimbia huku akipiga kelele, na pikipiki akaisahau, alipofika maskani ndio akaja kuomba msaada turudi nae afuate pikipiki...
Hahahahaha chai ya moto hii
 
Hahahaha
Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.
 
Ila hata wanaume wanasema kuwa wanawake wengi yani hako kamchezo wanakapenda sana. Sasa hivi imekua ajabu kukutana na mwanamke asiefanya huo mchezo.

ila hakuna mwanamke anaeweza kukutamkia labda awe kahaba, ndio maana tunasema laiti yafanyikayo sirini yangekuwa yanafanywa hadharani basi mwanaada ni kiumbe cha ajabu kuliko wote, kuna mengi ya ajabu watu wanayafutika tuu kama siri zao...yapo mengi ya ajabu katika jamii kuliko hilo, haya huyo dada ye asema ni sunna, na mwingine usipomuingia wewe basi atakuwa na mchizi ambaye ye anapiga mzigo, and viceversa
 
ila hakuna mwanamke anaeweza kukutamkia labda awe kahaba, ndio maana tunasema laiti yafanyikayo sirini yangekuwa yanafanywa hadharani basi mwanaada ni kiumbe cha ajabu kuliko wote, kuna mengi ya ajabu watu wanayafutika tuu kama siri zao...yapo mengi ya ajabu katika jamii kuliko hilo, haya huyo dada ye asema ni sunna, na mwingine usipomuingia wewe basi atakuwa na mchizi ambaye ye anapiga mzigo, and viceversa
Wanaosagana huwa wanasemaa live tu. Anaetoa jicho ni mmoja nilimsikia tena alikua amelewa na alisema eti amejaribu mara mbili tu. **** vitu ni aibu kusema maana ya sirini ni mengi
 
Wanaosagana huwa wanasemaa live tu. Anaetoa jicho ni mmoja nilimsikia tena alikua amelewa na alisema eti amejaribu mara mbili tu. **** vitu ni aibu kusema maana ya sirini ni mengi

hahaaah ngoja ninyamaze
 
Ila hata wanaume wanasema kuwa wanawake wengi yani hako kamchezo wanakapenda sana. Sasa hivi imekua ajabu kukutana na mwanamke asiefanya huo mchezo.
Kwani unafikiri mkuu ukithiri wa hayo mambo umeanzia wapi tatzo nwdays nimeona hata kwnye mitandao mingi ya mambo ya mapenzi hasa hata magroup ya wanandoa yaan hiki kitu cha kunyonya tigo nwdays ndo kimekuja kwa kasi na ndio kinachangia huo mchezo kukua kwa kasi, unaweza kuta mdada wa watu hata wazo la kuja kuingiliwa huna bt unampata mpnz ukiwa nae chumbani unamuachia mwili wako kwa kigezo cha mapenzi ni uchafu unashangaa anakutia ulimi kwnye k then kwny tgo ukishazoeshwa mara mbili au tatu utajikuta unatamani kuwe kunatekenywa ndo mwanzo wa kuanza kuingiziwa kidole mwishowe uume na mpka uje kushtuka unajikuta ushatumbukia.
Lakini kizaz hiki kinakoelekea ni kubaya sana tena sana
 
Nakumbuka miaka kama nane imepita kipindi hiko niko hot haswaa,, nilipata mbaba mtu mzima, tukaenda nae harusi flan ya rafiki angu, baada ya harusi saa nne tulitoka mapema maana kila mtu alikuwa na nyege na mwenzie, hyo siku ikawa mara ya kwanza kulala nae usiku kucha, tukatiana wee tukalala, kufika saa nane tukalianzisha tena ,ghafla ananiambia pliz naomba niingizie kidole huku, nikawa sijamuelewa waaap?

Akarudia tena nakunishika kidole changu nimuingizie,, kiukweli nilimuingizia haswaa hadi akapizi tukalala kukakucha,

Baada ya wiki moja nikabadilisha line kabisa kifupi nikamuacha, alikuwa na **** nzuri na anajua haswaa kutomba ila ndugu kinyaa kilichonipata ile siku siwez sahau

Juzi kati nikakutana na ndugu yake, tukaongea mawili matatu baadae jamaa ananifata ananiuliza what happened?

Namuangalia nasema kimoyo moyo wewe punga mchicha mwiba sikutaki kimoyo moyo!

Sema anamihela huyo loooo! Naaubiria km ataomba mchezo mweeee
Akiomba utampa?
 
Kwani unafikiri mkuu ukithiri wa hayo mambo umeanzia wapi tatzo nwdays nimeona hata kwnye mitandao mingi ya mambo ya mapenzi hasa hata magroup ya wanandoa yaan hiki kitu cha kunyonya tigo nwdays ndo kimekuja kwa kasi na ndio kinachangia huo mchezo kukua kwa kasi, unaweza kuta mdada wa watu hata wazo la kuja kuingiliwa huna bt unampata mpnz ukiwa nae chumbani unamuachia mwili wako kwa kigezo cha mapenzi ni uchafu unashangaa anakutia ulimi kwnye k then kwny tgo ukishazoeshwa mara mbili au tatu utajikuta unatamani kuwe kunatekenywa ndo mwanzo wa kuanza kuingiziwa kidole mwishowe uume na mpka uje kushtuka unajikuta ushatumbukia.
Lakini kizaz hiki kinakoelekea ni kubaya sana tena sana
Kweli mkuu huwa wanaanzia hapo. Haya mambo ya kuwekeana ulimi kwenye tigo ptuuu kwanza kulishana nya tu.
 
hahahaaa umenikumbusha jamaa yangu alikuwa na kapikipiki kake akitoke kati ya mji, akaona sio kesi ngoja apitie pale kwa macheni, alipofika pale akaagiza bia zake mbili, akazikata fasta, ghafla akaja muhudumu na bia mbili zingine, akamwambia jamaa yako amekuagizia, mwana bila kujiuliza akapiga, ataka kumaliza, zikaja tena mbili, mmh, jamaa akauliza ni nani anakutuma akaambiwa jamaa yule pale, kidogo ukaja mchemsho, jamaa kichwa ikaanza kuchaji, akaona hapa lazma nimuone anayeniagizia, wakati anamaliza mchemsho sasa ndio likaja pandikizi la dume, na yeye ndio anainuka, kwanza akashikwa tako, dah jamaa akahamaki, akaambiwa tulia kijana, mambo madogo tu haya, usijali utazoea unaonekana we ni mpya mambo haya bado huna uzoefu nayo, usijali hata wenzako walikuwa wakali kama wewe, akashikwa tena tako, janaa ilimchomoka ngumi moja matata sana, yule bazazi chali, damu kibao, cha ajabu alipoinuka akamuagizia aletewe bia tatu, kwani kijana anaonekana sildi, mshikaji alivyosikia hivyo akaanza kukimbia huku akipiga kelele, na pikipiki akaisahau, alipofika maskani ndio akaja kuomba msaada turudi nae afuate pikipiki...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.
Watu wazima tumeshaelewa kilichoendelea
 
Wa Kwanza alinitafuta fesibuku huko miaka kadhaa nyuma, baada ya kuchat chat majuma kadhaa akaniambia anatakata mkuyenge na kwa kua nilikua mkoa tofauti akasema mambo ya logistics na accomodation ni juu yake. Alikua ni mzungu na kiongozi wa dhehebu moja kongwe sana katika historia ya dunia.
Alichezea block kali na toka hapo situmii FESIBUKU tena.

Wa pili ni mwaka jana, alianza kua analike picha zangu IG na comments za ajabu ajabu, mara Good looking, mara Handsome.
Mwisho akaja DM asema direct yeye ni gay, anataka mukuyenge na akaweka no. zake za simu.
Huyu ni kijana mdogo tu tena ni model hawa tunawaona kwenye social networks wakipiga picha na dada zao, sijui ndio wanaita photo shoot.
Alichezea block kali.

Huko tuendako idadi yetu wanaume itakua ya kutafuta kwa tochi.
 
Umenikumbusha jamaa yangu mmoja maeneo ya mlimani city enzi samaki samaki inafunguliwa,
Jamaa kapiga bia zake kaona ngoja anyanyuke kwenda msalani,mara paap anahamaki dushe limeparamiwa na jamaa na mawani yake, makamu ya 40 years hiv!!!huku anamsifia unadushe la haja.
Hee jamaa ikabidi achumpe kama dolphine vile,kumbe yule bwana shoga,mtu na masters yake tena boss wa kampuni kubwa tu ya simu maeneo ya moroco,
Sema jamaa hakupiga.
 
hahahaaa umenikumbusha jamaa yangu alikuwa na kapikipiki kake akitoke kati ya mji, akaona sio kesi ngoja apitie pale kwa macheni, alipofika pale akaagiza bia zake mbili, akazikata fasta, ghafla akaja muhudumu na bia mbili zingine, akamwambia jamaa yako amekuagizia, mwana bila kujiuliza akapiga, ataka kumaliza, zikaja tena mbili, mmh, jamaa akauliza ni nani anakutuma akaambiwa jamaa yule pale, kidogo ukaja mchemsho, jamaa kichwa ikaanza kuchaji, akaona hapa lazma nimuone anayeniagizia, wakati anamaliza mchemsho sasa ndio likaja pandikizi la dume, na yeye ndio anainuka, kwanza akashikwa tako, dah jamaa akahamaki, akaambiwa tulia kijana, mambo madogo tu haya, usijali utazoea unaonekana we ni mpya mambo haya bado huna uzoefu nayo, usijali hata wenzako walikuwa wakali kama wewe, akashikwa tena tako, janaa ilimchomoka ngumi moja matata sana, yule bazazi chali, damu kibao, cha ajabu alipoinuka akamuagizia aletewe bia tatu, kwani kijana anaonekana sildi, mshikaji alivyosikia hivyo akaanza kukimbia huku akipiga kelele, na pikipiki akaisahau, alipofika maskani ndio akaja kuomba msaada turudi nae afuate pikipiki...
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] nimecheka sana.... Shunie pita hapa uone hii comment
 
Umenikumbusha jamaa yangu mmoja maeneo ya mlimani city enzi samaki samaki inafunguliwa,
Jamaa kapiga bia zake kaona ngoja anyanyuke kwenda msalani,mara paap anahamaki dushe limeparamiwa na jamaa na mawani yake, makamu ya 40 years hiv!!!huku anamsifia unadushe la haja.
Hee jamaa ikabidi achumpe kama dolphine vile,kumbe yule bwana shoga,mtu na masters yake tena boss wa kampuni kubwa tu ya simu maeneo ya moroco,
Sema jamaa hakupiga.
Nimahamjua huyo!!!! Namfahamu sana!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom