Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Iliwahi nitokea kitambo pale best bite makumbusho..mdada sijui mkenya yule..nmeagiza kinywani nasubr danga langu..khaa!! Yule kuku alijua kuniharibia mood yangu ..kaja kukaa nilipokaa anaanza kunisifia una ngozi nzuri..mara una umbo zuri..nimekupenda nitakupa utakacho...aiseee..nikamwambia dada jiheshimu aisee..nitakumwagia pilipili hautonisahau..mwingine alikua anaitwa monica anakaa moshi hyu nae alikua ananisumbua vibaya sana miaka kadhaa uko facebook eti ooh nmekupenda nitakupa chochote utakacho..nitakuoa pia..nilimpa jibu hilo hakurudia tena kunisumbua..mxiuuuuu
 
Naomba namba yako bibie nina event naiandaa nchi jirani ningependa kampan yako kama hutajali.
 
Nakumbuka christmass 2006 nikiwa natokea mitaa ya kujinafasi nipo njian nikakutana na jamaa mmoja barabarani na tukasalimiana fresh tu,tukawa tunaongozana uelekeo mmoja.
Baada ya mwendo wa dakika km 3 akaanza kuniambia nimsaidie kupiga mzigo atanipa 20000! Kwa kohoro changu nikawa namhoji mzigo gani!? Akawa ananizungusha kuniambia, yeye anang'ang'ania mm nipige mzigo atanipa hiyo pesa maana nlikua napiga hesabu za kupiga hata mzinga wa konyagi,nyama kilo na bia 7 kesho yake kwa hiyo pesa maana ilikua inatosha kabisa nikakubali, ndipo akafunguka nikamfire kichakan. Nilimwelekeza sehemu maana nilikua nipo jiran na hom hivyo n mwenyeji hapo, kabla ya kufanya yetu nikaomba hiyo pesa kwanza na akanipa! Ile kuvua suruali na boxer yake na kuinama tu nilopiga teke moja la kushindilia likamfanya aangukie uso mimi nikatoka nduki kama nilivokimbizwaga na mbwa miaka miwili kabla ambapo mbwa wenyewe walihisi mm n Seleman Nyambui. nafkir yy aliona zile mbio n risasi.
 
Hahahaaaa
 
Hahahaha
 
Hata usiulete usije kutuchefua.
 
Anaevaa miwani sio yule alikua boss wa simu kule kule mlimani city kweli maana nae ndo michezo yake hiyo.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…