Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nashukuru Mungu nilinusurika nikiwa chuo, kuna Dada wawili walinipenda sana na kunisifia wa kwanza nilikuwa nikiingia darasa nikikaa yeye atakaa upande wa pili tunatazamana kila siku hadi aliposema kwamba yeye hukaa upande ule ili aangalie miguu na mapaja yangu maana hata mwalim akifundisha yeye huwa hamsikilizi nikacheka baadae wafanyakazi wenzake wakaniita wakaniambia S angalia kaa mbali na D si mzuri kwako hivyo kakutamkia mbele yetu hata siku moja usikubali kuwa naye popote kuanzia hapo nikawa namuogopa sana na nikawa sikaribishi mazungumzo na yeye. Wa pili kutoka kampuni hiyo hiyo yeye alikuwa mama mtu mzima kidogo kila siku akiniona ananichangamkia sana baadae akaanza S karibu kwangu, mara utakuja nitembelea lini siku hiyo nikamwambia shoga yangu wanafanya naye akasema nikae mbali na Dada A tena nisimchekee kabisa, huyu ni msagaji duu nilishangaa sana kampuni inawasagaji wawili? Akasema mbona ni wengi tu huko kazini, nilisoma kwa taabu maana akiniangalia tu nakosa amani, nashukuru baada ya kuwachunia hawakunifuata wala kuniambia tena, hawa watu wa ajabu Mimi nilikuwa najua labda wenye pesa ndio wasagaji kumbe hata akina kapuku wapo.
 
Bongo movies
 
Unajua nilikuwaga nasikia ila yale majina wala hata sielewi ila nilipoanza kuona video zake ndo nilijikuta naanza kufatilia kwa kina hili swala likoje mwanzoni nilijuaga shoga ni mtu Ana tabia za kike bas wala sikuvuka mipaka zaidi ya hapo make nilijua haiwez
 
Kwahiyo ulisangwa au mlisagana!
 
kwa hiyo mlisuguana visimi,,
naskia ukianza hiyo raha yake si rahisi kuacha
 
kusagana kwa kusuguana visimi sio shida mkuu..mbaya kuwekewa dildo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…