Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

humu ndani kuna mashoga wawili washawahi kutaka game wakijisifia kuwa wao huwa wanakuwa vizuri kuliko hata mademu. nlipowakatalia na kuwafukuzia mbali waligeuka kuwa maadui wangu wakubwa kwenye kila thread nikianzisha walihakikisha wanakuja kutukana. na sifahamu kwa nini mashoga huwa wana matusi sana....
 
Uzuri wangu unaniponza sana....hawa Magay wananisumbua sana,,sijui niganye nn kuwakwepa
 
Bora umekuwa mkweli... nice i like that.

Ukiwa honest unakuwa huru na nafsi yako kuliko kujibaraguza baraguza na kuwa mnafiki kama baadhi ya watu humu.

Thumbs up man... i love it.

Ila na wewe una chembe chembe za unafiki kwa mbali... eti uliwala kwasababu una shida... !!!!

Hapo unaanza kuyumba yumba!
wakti mwingine wanakutangazia dau nawe huna hela inakubidi kubeba.
 
Kuna siku kule fb nilitupia picha kali watu wengi waka like na kucomment ila zilinishangaza comments za jamaa mmoja ambaye ni mtu mzima wa age ya 40+ yeye alinisifia sana alikuja hadi inbox na kudai anataka tuonane kabisa na alikuwa serious akafunga safari kutoka Dar kuja Tanga
Alipofika Tanga nikamzimia simu lakini hakukata tamaa tena alikuwa mwalimu mkuu wa shule fulani kubwa tu hapo Dar...
Hakukata tamaa akaja tena mara ya pili nikamfanyia yaleyale hakukata tamaa akaja tena kwa mara ya tatu nikaona ngoja nikamit nae tu nijue anataka nini..

Nikampokea pale stend nikamleta hadi home kiukweli alionekana mstaarabu na huwezi kumzania kuwa ni bwabwa.. Akadai anataka alale hapohapo home nikamgomea alibembeleza sana nikamwambia zipo guest nyingi tu nitampeleka akalale..

Akakubali kishingo upande.. Nikampeleka guest, alinibembeleza hadi kutia huruma pamoja na kunishawishi kwa hela ila nilikataa katakata (kiukweli kwa style aliyonibembeleza angekuwa ni mwanamke hata mzee kiasi gani ningefumba macho nikagegeda tu)

Ikabidi nitoke kwa nguvu niende home roho iliniuma sana ila sikuwa na namna, ikabidi nipitie maskani nikawapa story masela mmoja akapenda kwenda kumkamua nikamuunganisha nae wakamalizana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hadi sasa nasumbuliwa na wadada 2 mtu na mama ake mdogo, ni marafiki zangu kitambo ila nilikuwa sijui kama wana kamchezo huko, ila walikuwa wakarimu sana jamani na mimi nikawa nawafanyia ukarimu japo walikuwa wanaonyesha kutokuhitaji, siku waliponifungukia nilishangaa na kwa kweli nilikimbia, kwanza walilewa sana na mimi situmii pombe, nikaamua kuwarudisha kwao ili nami niende kwetu, sasa ile nafika tu na kuwaingiza chumbani mmoja kufunga mlango Kasema hutoki leo, nikajua utani tu, wakatoa vifaa vyao pamoja na sex dolls kila saizi, nilitetemeka mno kidogo nizimie, sasa mmoja karukia titi mwingine kiuno na usumbufu mwingi, nilitumia Akili nyingi kuliko nguvu kuwakimbia, niseme tu imani yangu ndo iliyonisaidia vinginevyo ingekuwa kwisha habari yangu, maana ni kama wamesomea, Na tangu siku hiyo sijawahi kaa nao meza moja hata kwa maongezi Ila bado wananipa zawadi mbalimbali na hunifuata kazini ila nyumbani nimewapiga marufuku, hatari sana hawa watu
Hapo umetudanganye sema ulifanya Ila ukuendelea sana na huo mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka uboyzini secondary moja ivi mkoa wa Pwani miaka mingi imepita...uyu alikuwa dogo kidato cha chini yangu alikuwa akinisumbua sana nimfundishe hesabu akati me hesabu nlikuwaga kawaida tuu..Alikuwa anavizia mda watu wote hawapo ndo anataka nimfundishe ana vipensi vyake vifupi na amejazia tako akijilaza kitandani unamtamani kabisaa....nashkuru Mungu skumfanya lolote ila naskia kuna watu walikuwa wanamtumia. Alikuja kutimuliwa na mkuu wa shule siri ilipomfikia na ilikuwa shule ya Dini. Nakumbuka siku baba yake amekuja kumchukua mtoto wake kwa kufukuzwa alikuwa na huzuni sana aliegemea kisuzuki chake mpaka anatia huruma haamaini .Yaani mtoto unamtegemea kuwa kidume kumbe SHOGA. Wazazi mnaojifanya mko busy sana na kazi watoto wadogo mnawaacha Home na watu wasioeleweka jichungeni!
Mungu atuepushe,
Kama mzazi inaumiza sana
[emoji3][emoji3]ila umenifurahisha unavosema ameegemea kisuzuki chake tafikiri toy car.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom