Thubutuuuh.
Mie huo mda wa kuhaha na gume gume km hilo nautoa wapi?
Anawa record hao anao kutana nao na ndo type zake,
Mie nipo ndani ya ndoa, tena Pete kidoleni, mwanaume mwenye kujua kupenda na kuthamini, na anatambua nafas yake ndani ya ndoa, na anatekeleza ipasavyo, ana status na Elimu yake nzuri, si haba kazi na pesa zimo.
Nianze kuhangaika iweje? Nmetulia ndani ya ndoa mie.
Tamaa sahivi wanaume straight ndo wanazo, wanaingia Gayism industry wakijifanya TOP, wanakutan na versatile wanaishia kubanduana zamu zamu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nchi ina vituko hii khaaaah