KITAULO
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,926
- 2,797
Mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]
UMEJUA KUNIFANYA NITENDE DHAMBI 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbe ni ladies and gentlemen 🤦🏽♀️🤦🏽♀️🤦🏽♀️Hata mimi najuaga ni KE [emoji3][emoji3]
Sio mmama ni gay
Ila mwisho wa siku na wewe UTATOPEA huko kwenye huo mchezo. Na utashindwa kutokaNgoja zali litakuangukia siku mpja mwaya.
Ila ni wahongaji balaa.
Utakula sana pesa zake
Haha ofisini Kuna mhindi alileta proposal ya biashara yake. Sasa mwamba wetu mmoja ndio alimskiliza na tu kaanza kununua mzigo kwake. Yule. Mhindi yupo kwenye 30 years au plus. But yuko njema. Si wajua wenzetu wanarithishwa mpunga tu. Basi after mwezi hivi a kaanza kumtumia mwana msg za good night mara good morning mara meseji zenye mkondo wa kule. Aah jamaa Akamblock mazima. Anaweza asikwambie ila akianza tu utajuaKwa jinsi ulivyoandika na nilivyoelewa, huyo mhindi ni mwanamke. Kwasababu mwanaume huwezisema anafanywa kinyume na maumbile.
Kusema ukweli Sina Shida Na wasagajii Mungu awabariki kokote walipo... siku nikiwa mkubwa ntakuwa Na madem wawili wasagaji kwenye threesome relationshipNgoja zali litakuangukia siku mpja mwaya.
Ila ni wahongaji balaa.
Utakula sana pesa zake
KumekuchaKusema ukweli Sina Shida Na wasagajii Mungu awabariki kokote walipo... siku nikiwa mkubwa ntakuwa Na madem wawili wasagaji kwenye threesome relationship
Huo ni mtaa sinzaKumekucha
Ila kwel una lips nzuri sana[emoji39][emoji39]Aliniomba urafiki akanitumia sms Messenger kanisalimia heee naona kaweka [emoji3590].Akaanza kunisifia una lips nzuri mara macho alinistua baada ya kunitumia video ya wanawake wana Sagana nilimtukana nikabrock nikajitoa Fecebook .
Mtabakwa shauri zenuHata mimi najuaga ni KE [emoji3][emoji3]
Umekula ban, hii itakuwa life banIla aggrey jaman khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna clip yupo na mbaba kwa pembeni, aliyemuhonga I4n macho ma3, bas anavojishaua sasa, mie hoi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzur mini sijawai kushobokea mwanamke JF ila namuonaga kwenye nyuzi mbalimbali anavyochangia najuaga ni sister Du , kumbe wahuni wanamfukua mtaroMtabakwa shauri zenu
Atarudi kivingine[emoji23]Umekula ban, hii itakuwa life ban
Ka ladies and gentlemen 😂😂Washakapiga ban hka ka ladies and gentleman
Uyo clinton yupoje mkuu kama hutojaliNilikuwa chuo hapa mjini nilisoma shahada ya pili. Nilitoka library nitaenda kulewa. kawaida sipendi kukaa kwenye bar kubwa maana sipendi kelele anakunywa kwenye viduka tu ghafla naona majamaa yanakiss aisee nikishangaa sana. Kuangalia vizur ni ushoga maarufu hapa mjini. Naenda choni jamaa anifuata nikamle dah niliboreka sana.
Kuna mmoja anaitwa Clinton nae alinitokea mungu nisamehe siwezi fany hivyo
Dah mkuu ngoja nisiendelee. Ila jamaa anaongea kama demu kabisaUyo clinton yupoje mkuu kama hutojali
Hili na mimi ndio nalisikia.. Alete ka ushaidiHebu tupe ushahidi mzee maana