Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Kwa jinsi ulivyoandika na nilivyoelewa, huyo mhindi ni mwanamke. Kwasababu mwanaume huwezisema anafanywa kinyume na maumbile.
Haha ofisini Kuna mhindi alileta proposal ya biashara yake. Sasa mwamba wetu mmoja ndio alimskiliza na tu kaanza kununua mzigo kwake. Yule. Mhindi yupo kwenye 30 years au plus. But yuko njema. Si wajua wenzetu wanarithishwa mpunga tu. Basi after mwezi hivi a kaanza kumtumia mwana msg za good night mara good morning mara meseji zenye mkondo wa kule. Aah jamaa Akamblock mazima. Anaweza asikwambie ila akianza tu utajua
 
Ngoja zali litakuangukia siku mpja mwaya.
Ila ni wahongaji balaa.
Utakula sana pesa zake
Kusema ukweli Sina Shida Na wasagajii Mungu awabariki kokote walipo... siku nikiwa mkubwa ntakuwa Na madem wawili wasagaji kwenye threesome relationship
 
Aliniomba urafiki akanitumia sms Messenger kanisalimia heee naona kaweka [emoji3590].Akaanza kunisifia una lips nzuri mara macho alinistua baada ya kunitumia video ya wanawake wana Sagana nilimtukana nikabrock nikajitoa Fecebook .
Ila kwel una lips nzuri sana[emoji39][emoji39]
 
Nilikuwa chuo hapa mjini nilisoma shahada ya pili. Nilitoka library nitaenda kulewa. kawaida sipendi kukaa kwenye bar kubwa maana sipendi kelele anakunywa kwenye viduka tu ghafla naona majamaa yanakiss aisee nikishangaa sana. Kuangalia vizur ni ushoga maarufu hapa mjini. Naenda choni jamaa anifuata nikamle dah niliboreka sana.
Kuna mmoja anaitwa Clinton nae alinitokea mungu nisamehe siwezi fany hivyo
 
Hii sijui niiitaje lakini nshakumbana na kadhia hii jamaa namuheshimu sana akawa anajikeshachekesha(tulikua tunakula mtungi tuko wawili tu) baadae mara alete mkono wake kunapo dushelele anataka alishike. Sio mtu wa iyo michezo nikawa serious sana na ilibidi nisepe pale mana maeneo yalikua hatarishi na akili pombe unaweza fukua tope kimasihara.
 
Nilikuwa chuo hapa mjini nilisoma shahada ya pili. Nilitoka library nitaenda kulewa. kawaida sipendi kukaa kwenye bar kubwa maana sipendi kelele anakunywa kwenye viduka tu ghafla naona majamaa yanakiss aisee nikishangaa sana. Kuangalia vizur ni ushoga maarufu hapa mjini. Naenda choni jamaa anifuata nikamle dah niliboreka sana.
Kuna mmoja anaitwa Clinton nae alinitokea mungu nisamehe siwezi fany hivyo
Uyo clinton yupoje mkuu kama hutojali
 
Back
Top Bottom