Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Na nyie straight acheni kufuata gays ili mpate pesa,
Wamejaa sana mtaani, kutwaa kutaka gays wenye pesa ili wafaidike.

Gay anatongoza straight, namuona km ameishiwa vilee. Lol.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ameishiwa nini??
 
ameishiwa nini??
Ameishiwa mipango na malengo, yaan gay anatongoza straight kwamba ameishiwaa wa kukutongoza, had yeye ndo anatongozaa??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] can't blv zat. Lol
 
Ameishiwa mipango na malengo, yaan gay anatongoza straight kwamba ameishiwaa wa kukutongoza, had yeye ndo anatongozaa??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] can't blv zat. Lol
we mtoto bana maisha ya mtaa hayapo hivo!

Kwahyo unamaanisha waishi kama mademu wasubiri kutongozwa really ??

Watu wanaotongoza mashoga wapo??kiasi gani??

hao mashoga wanajionesha???

wana demand sana kwamba watatafutwa sana??? Adi wasubiri kufatwa


Watu wanaweza kuwa wanafiki lakini mashoga kwa nchi zetu ni kitu cha ajabu sana tu! Na hawana thamani yoyote ile
 
we mtoto bana maisha ya mtaa hayapo hivo!

Kwahyo unamaanisha waishi kama mademu wasubiri kutongozwa really ??

Watu wanaotongoza mashoga wapo??kiasi gani??

hao mashoga wanajionesha???

wana demand sana kwamba watatafutwa sana??? Adi wasubiri kufatwa


Watu wanaweza kuwa wanafiki lakini mashoga kwa nchi zetu ni kitu cha ajabu sana tu! Na hawana thamani yoyote ile
Duuh
 
we mtoto bana maisha ya mtaa hayapo hivo!

Kwahyo unamaanisha waishi kama mademu wasubiri kutongozwa really ??

Watu wanaotongoza mashoga wapo??kiasi gani??

hao mashoga wanajionesha???

wana demand sana kwamba watatafutwa sana??? Adi wasubiri kufatwa


Watu wanaweza kuwa wanafiki lakini mashoga kwa nchi zetu ni kitu cha ajabu sana tu! Na hawana thamani yoyote ile
Wapo mashoga wanao tongozwaaa, usitake kulazimisha jambo halipooo, khaaah
 
Juzi tena natoka zangu ferry kwenda home ile napanda na pikipiki toka bondeni tanavamba naianza lami inayopita mbele ya maduka mpka petrol station pale nikasimamishwa na mshkaji mmoja akaniuliza mm ni boda na mimi nikamuhoji unaenda wapi?
Akajibu anaenda majumba sita na ndio njia yangu sipendi sana kupita kibada njia ya kati basi akachukua chipsi zake ila toka akiwa anaongea na mimi nilihisi ni shoga kabisa nikavunga.
amepanda akanishika bega na nikawa namsikia kaleta kifua kwenye mgongo wangu haooo tukaanza safari hatujafika hata rongoni jamaa akaanza kuniongelesha najidai simsikii nina helmet akasogeza mdomo eneo la sikio ananiambia twende kwangu nikamwambia ndio naenda kwako si unanilipa nikupeleke ananipiga kibao cha kidada kabisa ananiambia bwanaaaa kwani hunielewi ww nae nikamwambia funguka hapo tushaikamata pweza naona mbele paleee ndio njia ya kuingia majumba sita nikaingia .

tulipofika nikaenda na barabara ina vidimbwi vya hapa na pale tukafika kwenye ka mjengo kana geti ananiambia ingiza pikipiki nikamwambia we fanya malipo alafu nipange siku nyingine tuonane leo sikua na nia wala mpango wa kukutana na mtu kufanya uchafu jamaa akaniamini . Akanipa 5k na nauli ya pale kwa usiku ni 3k mtu akibana hata 2k unampeleka si njia hiyo hiyo mbele kwa mbele basi nikakamatia hela yangu nikampa namba za uongo na kweli akapiga ikaita na sijui ni namba ya nani basi nikamwambia nitaisave hakutaja jina akasema nisave rafiki na mimi nikamwambia save rasuli kuepusha mambo mengi kesho asije akanikuta sehemu akaanz akuita jina la kweli ikawa kimbembe. Nikaondoka ila mashoga kigamboni sio mchezo wapo kuanzia vijana wadogo hadi mibaba mizima kabisaaa na sio mara ya kwanza kukutana na uchafu huu inasikitisha
 
Afu baadhi ya Watanzania ni watu wa ajabu sana, hivi kuna la ajabu katika suala la mwanamke kuliwa mata.ko?
Ni sunna kama ilivyo kwenda chumvini.
Tena ukikutana na mwanaume anayejua anachofanya, very fantastic.
Na kama hataingiza nyuma...nitamruhusu aingize kidole.
Hakuna la ajabu.
Wengi sana wanafanyiwa huu mchezo, ila ukikutana nae katikati ya mada, atajifanya mlokole....hanyonywi kisimmi wala kufirw.a
Mscheeeeeeeeeeeeewwwwwwwww!!!!!!!!

Nimekuquote wewe ila ujumbe umeenda kwa wengine.
Mchana mwema.
Umepotea now days
 
Juzi tena natoka zangu ferry kwenda home ile napanda na pikipiki toka bondeni tanavamba naianza lami inayopita mbele ya maduka mpka petrol station pale nikasimamishwa na mshkaji mmoja akaniuliza mm ni boda na mimi nikamuhoji unaenda wapi?
Akajibu anaenda majumba sita na ndio njia yangu sipendi sana kupita kibada njia ya kati basi akachukua chipsi zake ila toka akiwa anaongea na mimi nilihisi ni shoga kabisa nikavunga.
amepanda akanishika bega na nikawa namsikia kaleta kifua kwenye mgongo wangu haooo tukaanza safari hatujafika hata rongoni jamaa akaanza kuniongelesha najidai simsikii nina helmet akasogeza mdomo eneo la sikio ananiambia twende kwangu nikamwambia ndio naenda kwako si unanilipa nikupeleke ananipiga kibao cha kidada kabisa ananiambia bwanaaaa kwani hunielewi ww nae nikamwambia funguka hapo tushaikamata pweza naona mbele paleee ndio njia ya kuingia majumba sita nikaingia .

tulipofika nikaenda na barabara ina vidimbwi vya hapa na pale tukafika kwenye ka mjengo kana geti ananiambia ingiza pikipiki nikamwambia we fanya malipo alafu nipange siku nyingine tuonane leo sikua na nia wala mpango wa kukutana na mtu kufanya uchafu jamaa akaniamini . Akanipa 5k na nauli ya pale kwa usiku ni 3k mtu akibana hata 2k unampeleka si njia hiyo hiyo mbele kwa mbele basi nikakamatia hela yangu nikampa namba za uongo na kweli akapiga ikaita na sijui ni namba ya nani basi nikamwambia nitaisave hakutaja jina akasema nisave rafiki na mimi nikamwambia save rasuli kuepusha mambo mengi kesho asije akanikuta sehemu akaanz akuita jina la kweli ikawa kimbembe. Nikaondoka ila mashoga kigamboni sio mchezo wapo kuanzia vijana wadogo hadi mibaba mizima kabisaaa na sio mara ya kwanza kukutana na uchafu huu inasikitisha
Ila km huyo ungemzibua makofi akili imkae, huwa nasema kila siku shoga yeyotee akikusumbua na wee hutaki malizana nae hapo hapo.

Ila nimechekaa hadi machoziii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu wanapitia magumu khaaah
 
Ila km huyo ungemzibua makofi akili imkae, huwa nasema kila siku shoga yeyotee akikusumbua na wee hutaki malizana nae hapo hapo.

Ila nimechekaa hadi machoziii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu wanapitia magumu khaaah
Wengine wanasisimka ukiwakaripia....hii ni serious kabisa[emoji23]
 
Wengine wanasisimka ukiwakaripia....hii ni serious kabisa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio wazima kichwanii, ila hivi hao mashoga hawaogopiii kukurupukia straight? Huwaa najiuliza yaan wanaanzaje? Wakiwa wamelewa, wamevuta bangi au??

Mbna kavu kavu haiji kabisaaa, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom