Kwahiyo jamaa haulipi madeni 😅Kukopesha sahivi ni ufala. Maana ata mi nikikopeshwa najua sitalipa.
Ukuda kutokulipa shida hazipo mala moja. Ila mala nyingi watoto wa kike wakikopa, kwa namna ingine wanakuambia jiongezeKwahiyo jamaa haulipi madeni 😅
Kwahiyo jamaa angevuta zigo kwa bedUkuda kutokulipa shida hazipo mala moja. Ila mala nyingi watoto wa kike wakikopa, kwa namna ingine wanakuambia jiongeze
Kweli kabisa hawa viumbe ukiwapa pesa yako ni kuwatomber tuu hamna namnaAlikwama katika harakati zake za hapa na pale, hivyo akaniomba nimpatie elfu thelathini asogezee siku kisha kuahidi kunirudishia siku iliyofuata.
Cha ajabu siku iliyofuata akanilia buyu, kisha kesho yake! Nikaona kama nikiendelea kuwa kimya nitaisubiri mpaka ukamilifu wa dahali. Nikaona nimtingie ghetoni kwake. Baada ya kufika, nikawakuta nje yeye pamoja na sponsor wake, nikashuhudia akikabidhiwa minoti ya kutosha myekundu, nikavunga somewhere, baada ya lile jitu lenye miraba minne kuondoka nikamfuata binti na kumkumbusha.
Cha ajabu ananambia, "kwani wewe hujawahi toa sadaka?". Katika harakati za kubishana nae akanambia hana hela. Nikamwambia nimeshuhudia ukikabidhiwa minoti still anakataa. Nikatikisa kichwa kwa majonzi nikaondoka. Baada ya masaa mawili (jana saa 1 jioni) kamtuma mtoto aniletee hiyo 30k. Mida ya saa tatu nikakutana nae dukani, kumsemesha japo kwa salamu hajajibu chochote kitu, kabaki amenuna tu
Funzo: Usimkopeshe mwanamke pesa ambayo unamalengo nayo
="Consultant, post: 43780961, member: 11015"”
Kwa hiyo uwale mbususu....dah wacha nkamle mbususu yule demu basiUkuda kutokulipa shida hazipo mala moja. Ila mala nyingi watoto wa kike wakikopa, kwa namna ingine wanakuambia jiongeze
Yesdunia ya sasa usikopeshe mtu labda kama unataka asiwepo tena kwenye maisha yako kwan ukiombwa hela huwez sema sina au kisa mwanamke unataka umpe ili usionekane maskini. wengi mi mafala hela ushasema unamalengo nayo alaf unamkopesha mtu kutokujielewa ndo maana mnasema matajiri wabahili ila tajiri hana ratiba za kukopesha annachojua ni kumake hela kwa juhudi na kuspend less
Ebu acha hizo na mie nikopeshe laki nitarudisha mwisho wa mweziUsikopeshe yoyote,hapa nina watu watatu tofauti tena wanaume nawadai ajabu nimegeuka adui yao.
Ndio ivyo, hiyo lugha nyepesi kabisa ya mwanamke kwa mwanaume.. Kuna siku dada mmoja ni bank teller mahala, aliniomba nimkopeshe elfu 10 atairudisha. Nilimtumia kwani alirudisha na kila aiku tuna chart nako kanacheka cheka nakatazama tuuKwahiyo jamaa angevuta zigo kwa bed
🤠🤠🤠Mwanamke akija kukupoka maana yake we jiongeze, kuna wengine wanakopa kabisa hata million kwa msisitizoKwa hiyo uwale mbususu....dah wacha nkamle mbususu yule demu basi
Akili fupi mno. Huyo jibu lake ni “sina pesa kwa sasa, sorry”Umenikumbusha,kuna demu nilimkopesha elfu 30 hivi alinipigia simu analia lia sana tukakubaliana atalipa after week mbili,akagoma kulipa nikasamehe deni
Juzi hapa kanipigia tena anaomba elfu 50 atarudisha mshahara ukitoka😀yani wana akili fupi sana
Ndio ivyo, hiyo lugha nyepesi kabisa ya mwanamke kwa mwanaume.. Kuna siku dada mmoja ni bank teller mahala, aliniomba nimkopeshe elfu 10 atairudisha. Nilimtumia kwani alirudisha na kila aiku tuna chart nako kanacheka cheka nakatazama tuu
Huyu kaja kukopa 50k akasema baada ya siku mbili...sasa imekuwa wiki mbili...hamna namna ni kumgegeda tuu🤠🤠🤠Mwanamke akija kukupoka maana yake we jiongeze, kuna wengine wanakopa kabisa hata million kwa msisitizo
Sema nilisha achana na mambo ya kupiga hizi manzi, zina mikosi sana.. Naziangalia tu sina mishe nazo kabisa..Kimasihara on the process
🤠🤠🤠 Maana nyingine anakuuzia kwa lazimaHuyu kaja kukopa 50k akasema baada ya siku mbili...sasa imekuwa wiki mbili...hamna namna ni kumgegeda tuu