Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata pesa hazitatolewa kiboya kinachotakiwa hapo ni butter tradeUnadhani papuchi inatolewa kiboya boya tu.
Sasa si bora aseme ukweli kuliko kuanza kudanganyanaTunawalaumu tuu hawa dada zetu, ukikataliwa kubali na heshimu, ukilazimisha ujue ni lazima kupangwa kwenye list ndefu, mwanamke ana idadi nzuri tuu ya watu wanaomtongoza kila wiki, so ukisema ampe kila mtu si itakua balaa
[emoji13][emoji13] yaani yaani...Mapenzi ni hisia, Siwez kubali kila anayekuja et kwa sababu tu umekuja.
Kama sijakupenda ntakwambia, na kama nina mpenzi tayari bas ntakwambia.
Siwez juta eti nimechezea bahati kisa una pesa, moyo ndo unapenda, sio macho. Ukikataliwa, take it easy sababu huyo sio wako, tafuta wako na hatakukataa.
Nn wewe[emoji13][emoji13] yaani yaani...
Nimeku note nitaanza kufuatilia post zako eeehNn wewe
ThubutuNimeku note nitaanza kufuatilia post zako eeeh
Mademu wa kiafrika hatakama mumempenda mtu, mtaanza kumzungusha weeeMapenzi ni hisia, Siwez kubali kila anayekuja et kwa sababu tu umekuja.
Kama sijakupenda ntakwambia, na kama nina mpenzi tayari bas ntakwambia.
Siwez juta eti nimechezea bahati kisa una pesa, moyo ndo unapenda, sio macho. Ukikataliwa, take it easy sababu huyo sio wako, tafuta wako na hatakukataa.