Wanawake hamnaga shukrani kabisa

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Wanaume acheni unyonge,

Malipo Ni Hapa Hapa duniani.
Mwanaume umeumbwa mfano wa mungu,
1.Uwezo unao,
2. Nia unayo
3. sababu unayo.

Na wewe mpige matukio atie akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi kuna mwanamme ambaye hajawah kuingia anga za hawa wafwazikwaji akapigwa za macho kweli???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuna

Ila uzito /ukubwa na udogo wa matukio unatofautiana

Kuna wengine wapigwa na matukio mazito aisee mpaka mtu unabaki kijynywa wazi ,

Mfano Mimi siwezi kusema kuwa nimepigwa na matukio Bali tumepigana , Nilikuwa na desturi nikiona manzi wangu ni mapepe na Mimi naanza umapepe Kwa kwenda mbele ni drama tu kila kukicha

Ila baada ya kuwa mature Niko makini mnoo nikiona red flag tu natumia mbio nyingi sana , Mimi ni type ya watu ambao nikikupigia simu usipo respond siku nzima basi hapo tayari najiongeza kuingia kwenye break up
 
Tukiwaambiaga hawa masingle maza ni wakutomber tuu mnatuona sie wabaya.
Mwanamke alimshindwa mwanaume mwenzio huyo kashindikana wala usijidanganye kuwa wee una akili kuliko mwenzio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanajifanya wanajua kupenda
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Oh yeah?

This is funny to me!
 
Hahahahaa hapo kwenye kufwafwanzika....Kamwene mkuu
 
Ww jamaa bwana[emoji23],utamfanya jamaa akajitundike kwa mawazo,huyu hapa alipo anahitaji faraja
 
Nae si alikupa ngoma droo. Katika maisha tusiishi kwa matarajio toka kwa wengine
 
Unaishi kwa tahadhari mzee
 
All units
All units
All units
Alfa team is compromised
Fall back ..fall back
I repeat fall back
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ