Wanawake hamnaga shukrani kabisa

Wanawake hamnaga shukrani kabisa

Mimi hata wkt napiga show huwa najikuta nawaza mambo mengine ya msingi kama mtu anaekunywa kahawa kijiweni...kiuhalisia hyo mambo si kipaumbele tena kwangu ....nafanya tu kujiburudisha....hii ni kutokana na na huu utapel unaofanywa na hawa wenzetu wa upande wa pili
🤣🤣🤣
 
Wanaume acheni unyonge,

Malipo Ni Hapa Hapa duniani.
Mwanaume umeumbwa mfano wa mungu,
1.Uwezo unao,
2. Nia unayo
3. sababu unayo.

Na wewe mpige matukio atie akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi kuna mwanamme ambaye hajawah kuingia anga za hawa wafwazikwaji akapigwa za macho kweli???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuna

Ila uzito /ukubwa na udogo wa matukio unatofautiana

Kuna wengine wapigwa na matukio mazito aisee mpaka mtu unabaki kijynywa wazi ,

Mfano Mimi siwezi kusema kuwa nimepigwa na matukio Bali tumepigana , Nilikuwa na desturi nikiona manzi wangu ni mapepe na Mimi naanza umapepe Kwa kwenda mbele ni drama tu kila kukicha

Ila baada ya kuwa mature Niko makini mnoo nikiona red flag tu natumia mbio nyingi sana , Mimi ni type ya watu ambao nikikupigia simu usipo respond siku nzima basi hapo tayari najiongeza kuingia kwenye break up
 
Tukiwaambiaga hawa masingle maza ni wakutomber tuu mnatuona sie wabaya.
Mwanamke alimshindwa mwanaume mwenzio huyo kashindikana wala usijidanganye kuwa wee una akili kuliko mwenzio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanajifanya wanajua kupenda
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuna

Ila uzito /ukubwa na udogo wa matukio unatofautiana

Kuna wengine wapigwa na matukio mazito aisee mpaka mtu unabaki kunywa wazi ,

Mfano Mimi siwezi kusema kuwa nimepigwa na matukini Bali tumepigana , Nilikuwa na desturi nikiona manzi wangu ni mapepe na Mimi naanza umapepe Kwa kwenda mbele ni drama tu kila kukicha

Ila baada ya kuwa mature Niko makini mnoo nikiona red flag tu natumia mbio nyingi sana , Mimi ni type ya watu ambao nikikupigia simu usipo respond siku nzima basi hapo tayari najiongeza kuingia kwenye break up
🤣🤣
 
M

Maneno mengi sikwasababu hutaki kusoma😂😂😂😂. Ndio ninapoendelea kusema mtanzania yupo tatari kuchukua kitu superficial ili akimbiye kuwaza au kufikiri. Halafu ukaamua wewe kama wewe kuwa wanaume wote wanaakili kama zako😂😂😂. Mengine, waza uwazavyo, akili ni nywele kila mtu anazake.
Oh yeah?

This is funny to me!
 
Unakutana na mwanamke amefwafwanzika hakuna anayemtamani na kitoto chake chenye utapiamlo.

Unamchukua mnaanza kufanya maisha, anaanza kupendeza na kuvutia wengine, baadaye anaamua kukusaliti kabisa na kuanza kukuona si chochote.

Mbaya zaidi mwishoni unapewa jibu la "fanya mambo yako"

Kweli nimeamini usitongoze mwanamke akiwa kwenye matatizo, matatizo yake yakiisha lazima akusahau.
Hahahahaa hapo kwenye kufwafwanzika....Kamwene mkuu
 
Wewe kumbe unaoa mtu "kumsaidia" kumbe infact ni wewe umeona ana shida ili umpate kirahisi utimize your selfish reasons of holding someone?

Guess what,na yeye ana akili,alikua hakupendi since day one,sema kwavile ana shida akaona akubali ili akikaa sawa aweze kufata anachokipenda

Wa kulaumiwa ni wewe unaejifanya ku capitalize kwenye matatizo ili uweze kutimiza nia zako....

Eti "nimemsaidia"..hapana,ni "umejisaidia" wewe binafsi,uzuri muda umefika wa hiyo kujisaidia kwa kutumia matatizo ya watu umefika mwisho maana yale matatizo yameisha hakuna cha kuchukulia tena

Wewe ungeoa mwanamke alie kamili asie na hizo shida unazojifanya ku capitalize ili baadae uanze kusema maneno ya hovyo hivi "nilimsaidia leo kanisaliti"

Nani kakwambia "usaidie" watu ili uwaoe?

Watu wanaoa kwa "kumpenda" muhusika bila kuwepo na vigezo vya shida na blah blah

Haikua ndoa ,ilikua ni financial /business proposition na kulikua hakuna love from the start,ilikua ni financial institution lending to an individual kwa kigezo cha kuoa kumbe ni wrong reason and lies among yourselves.

Now wewe unajipa high priest status,kumbe ni hovyo kama mwenzako,wakati mnajua kabisa mlikula njama tangu mwanzo wote wawili
Ww jamaa bwana[emoji23],utamfanya jamaa akajitundike kwa mawazo,huyu hapa alipo anahitaji faraja
 
Nae si alikupa ngoma droo. Katika maisha tusiishi kwa matarajio toka kwa wengine
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuna

Ila uzito /ukubwa na udogo wa matukio unatofautiana

Kuna wengine wapigwa na matukio mazito aisee mpaka mtu unabaki kijynywa wazi ,

Mfano Mimi siwezi kusema kuwa nimepigwa na matukio Bali tumepigana , Nilikuwa na desturi nikiona manzi wangu ni mapepe na Mimi naanza umapepe Kwa kwenda mbele ni drama tu kila kukicha

Ila baada ya kuwa mature Niko makini mnoo nikiona red flag tu natumia mbio nyingi sana , Mimi ni type ya watu ambao nikikupigia simu usipo respond siku nzima basi hapo tayari najiongeza kuingia kwenye break up
Unaishi kwa tahadhari mzee
 
Unakutana na mwanamke amefwafwanzika hakuna anayemtamani na kitoto chake chenye utapiamlo.

Unamchukua mnaanza kufanya maisha, anaanza kupendeza na kuvutia wengine, baadaye anaamua kukusaliti kabisa na kuanza kukuona si chochote.

Mbaya zaidi mwishoni unapewa jibu la "fanya mambo yako"

Kweli nimeamini usitongoze mwanamke akiwa kwenye matatizo, matatizo yake yakiisha lazima akusahau.
All units
All units
All units
Alfa team is compromised
Fall back ..fall back
I repeat fall back
 
Back
Top Bottom