Wanawake, hata kama mmetofautiana na waume zenu msiwaseme mbele za watu

Wanawake, hata kama mmetofautiana na waume zenu msiwaseme mbele za watu

Usimfokee mume/mpenzi wako hatatkama haujaafikiana nae kwa mambo fulani. Haipendezi
Kufokewa ni lazima ila Iwe private. Yaani akikosea namfokea kama mtoto mdogo, si mansema wanaume ni watoto?🤣🤣 ukifanya mambo ya kitoto nakufokea haswa... Ila sio km huyo slay Queen, mi nakufokea kwa adabu
 
Kufokewa ni lazima ila Iwe private. Yaani akikosea namfokea kama mtoto mdogo, si mansema wanaume ni watoto?🤣🤣 ukifanya mambo ya kitoto nakufokea haswa...
Ila sio km huyo slay Queen, mi nakufokea kwa adabu
Hapo kwenye PRIVATE hapo, bidada wa kwenye uzi huu ndipo alipochemkia
 
Kufokewa ni lazima ila Iwe private. Yaani akikosea namfokea kama mtoto mdogo, si mansema wanaume ni watoto?🤣🤣 ukifanya mambo ya kitoto nakufokea haswa...
Ila sio km huyo slay Queen, mi nakufokea kwa adabu
Ila ujuwe kiujumla wanaume hatupendi kufokewa. Yaani wengine hukaa kimya wakuache ubwatuke au wengine huondoka eneo la tukio
 
Kuna story nyingine zinachochea wanawake kuonekana ni katili sana. Na kuwatia hofu vijana wanaohitaji kuanzisha mahusiano.

Ukweli ni kwamba ukiona mtu anaongea kwa sauti kubwa au anaamua kufoka hadharani akiwa na mpenzi au rafiki yake, basi ujue tatizo ni mawasiliano.
Wanawake wanapenda kusikilizwa hata kama wanaongea upuuzi.

Ukionesha kutomjali matokeo yake ni malumbano. Ndio maana utakuta dada anaanzisha mahusiano na mtu ambaye haendani naye sana, ilimradi tu anamjali na kumsikiliza.

Wanaume wajifunze kusikiliza. Haipunguzi hadhi ya uanaume. Na wengi wanaowasikiliza wake au wapenzi wao, mahusiano yao huwa na utulivu!
 
Kufokewa ni lazima ila Iwe private. Yaani akikosea namfokea kama mtoto mdogo, si mansema wanaume ni watoto?🤣🤣 ukifanya mambo ya kitoto nakufokea haswa...
Ila sio km huyo slay Queen, mi nakufokea kwa adabu
Ha haa ha mwanamke haipendezi kufoka hata kama ni private. Wakati niko chuo pale Bugema nilipataga kadem ka kichaga (samahani wachaga) basi tukiwa katika kunyanduana kalikua na kauli tata utasikia "wewe, hebu usinisokomezee hivyo" au utasikia "wewe The unpaid Seller hebu jieshimu please mimi sio malaya fanya taratibu" haa ha haaa

Kuna siku nilikua nakapelekea moto nikasikia "wewe jiheshimu hatuko gym hapa, manguvu yako peleka gym" niliinuka nikavaa nguo zangu nikamwambia "haya toka" akaanza kujichekesha chekesha nikamwambia "nikirudia tena itakua kwa vitendo, toka" akaondoka huku anatuma vitext "wewe The unpaid Seller hutaniwi, haujui hata kubembeleza" sikujibu text nikamblock.
 
Ha haa ha mwanamke haipendezi kufoka hata kama ni private. Wakati niko chuo nilipataga kadem ka kichaga (samahani wachaga) basi tukima katika kunyanduana kalikua na kauli tata utasikia "wewe, hebu usinisokomezee hivyo" au utasikia "wewe The unpaid Seller hebu jieshimu please mimi sio malaya fanya taratibu" haa ha haaa

kuna siku nilikua nakapelekea moto nikasikia "wewe jiheshid hatuko gym hapa, manguvu yako peleka gym" niliinuka nikavaa nguo zangu nikamwambia "haya toka" akaanza kujichekesha chekesha nikamwambia "nikirudia tena itakua kwa vitendo, toka" akaondoka huku anatuma vitext "wewe The unpaid Seller hutaniwi, haujui hata kubembeleza" sikujibu text nikamblock.
Ha haaa mbaya sana wewe
 
Hawa viumbe ni shida sana alafu baadae anakuja kumrudia huyohuyo aliyemsema sio mwanaume na wala hana lolote!
 
Kuna story nyingine zinachochea wanawake kuonekana ni katili sana. Na kuwatia hofu vijana wanaohitaji kuanzisha mahusiano.

Ukweli ni kwamba ukiona mtu anaongea kwa sauti kubwa au anaamua kufoka hadharani akiwa na mpenzi au rafiki yake, basi ujue tatizo ni mawasiliano.
Wanawake wanapenda kusikilizwa hata kama wanaongea upuuzi.

Ukionesha kutomjali matokeo yake ni malumbano. Ndio maana utakuta dada anaanzisha mahusiano na mtu ambaye haendani naye sana, ilimradi tu anamjali na kumsikiliza.

Wanaume wajifunze kusikiliza. Haipunguzi hadhi ya uanaume. Na wengi wanaowasikiliza wake au wapenzi wao, mahusiano yao huwa na utulivu!
Unafiki wa wanawake huu hapa tena, yani mwanamke akikosea chap lawama hua anatupiwa mwanaume. Kwamba hakumsikiliza mwanamke na sema hata mwanamke akichepuka atajitetea mwanaume alikua hamjali. Very manipulative. Hizi creatures are ilogical. Wanawake mmeumbwa kwa udongo tifutifu.

Kwamba mwanamke siku ile hakuwa na kosa ??!! KWAMBA MWANAMKE AKIPANDISHA SAUTI ANAPASWA ASUJUDIWE AISE ?!! Na hasa kwa wanawake wenye vijielimu.

Takers have no shame, wanawake mnaakili kisoda, unafiki tank. Proffessional complainers, trouble makers, drama queens, happines vampiers. The moment mwanaume akiwaelewa mapungufu yenu, it will save him a lot of bushits and dramas, mwanamke akiniletea nye nye nye nafukuza tu naendelea na mambo yangu.
 
Tamthilia za Wafilipino zimetuharibia sana Vijana wa kidigitali.

Dume zima la mbegu ufokewe na Ke mbele za Watu bila hata kumshushia kofi 1?
Kwetu kuna methali inasema " mwanaume huwa anaangaliwa/ anqsomwa". Kuna wengine hata tufanyeje mwanamke hawezi kuthubutu kunyanyua mdomo maana anajua kitakachompata hapo bila hata ya kujali kadamnasi itakuwa dhahama kwake.
 
Mambo yao waachie wenyewe, ndivyo walivyo...
 
Kuna story nyingine zinachochea wanawake kuonekana ni katili sana. Na kuwatia hofu vijana wanaohitaji kuanzisha mahusiano.

Ukweli ni kwamba ukiona mtu anaongea kwa sauti kubwa au anaamua kufoka hadharani akiwa na mpenzi au rafiki yake, basi ujue tatizo ni mawasiliano.
Wanawake wanapenda kusikilizwa hata kama wanaongea upuuzi.

Ukionesha kutomjali matokeo yake ni malumbano. Ndio maana utakuta dada anaanzisha mahusiano na mtu ambaye haendani naye sana, ilimradi tu anamjali na kumsikiliza.

Wanaume wajifunze kusikiliza. Haipunguzi hadhi ya uanaume. Na wengi wanaowasikiliza wake au wapenzi wao, mahusiano yao huwa na utulivu!
Sio kutetea ujinga wewe ndio umfokee mwanaume mbele za watu kwa kipi hicho alichonacho huyo mwanamke
 
Back
Top Bottom