donaldson don
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 624
- 416
Nani kasema mtuchune na kusepa labda masharobaro ndo muwachune m hata ukute nimelipuka ukiingia kwene anga zangu sikuachi hasa wewe MISS CHAGA nina hamu nawewe hebu niPM tuyajengetutawachuna tu tunasepa
yaani mwanaume mwenye ndevu flani hivi rafu rafu ni mtamu balaa nyie hamjui tu .mnaondoa utamu woteNdiyo maana mbeibe kila nikinunua nguo anaziponda dah? Eti sijui kuchagua nguo, mara ipyax usinyoe ndevu zote kwani zinanyegesha kichizi. Kuna siku nilinyoa zote nikanuniwa wiki nzima duh. Acha niendelee kua rough.
Hivi kwanini mwanamke akileta maoni take humu huwa mnakimbilia ameachwa?Hao hao wanaume masharobaro unaowaponda ndo uliowashobokea hlf wakakuumiza, uchungu wako unauleta humu jf ukidhan kumchuna mwanaume ndo unamkomoa, JF sio sehem ya kupunguzia hasira na stress za mapenzi..umethikia dada eeh Miss Natafuta
sijamponda mtu mahali mkuu ! samahani kama nimekukwaza.wewe endelea kuoga maana unit za maji si unalipia mwenyewe?Hao hao wanaume masharobaro unaowaponda ndo uliowashobokea hlf wakakuumiza, uchungu wako unauleta humu jf ukidhan kumchuna mwanaume ndo unamkomoa, JF sio sehem ya kupunguzia hasira na stress za mapenzi..umethikia dada eeh Miss Natafuta
Nakusalimu mpendwaDuuuh!
Usiangalie wanawake wanataka nini angalia mwanamke wako anataka nini,ukifwatilia ya kila mwanamke utawehuka tunatofautianaKuishi na mwanamke kweli yahitaji akili sana..Leo watakwambia tunataka uwe hivi, kesho tena hivi...Yaani inshort hawaeleki..... WANAUME TANGU LINI TUMEFANYA DUNIA IKAWA SEHEMU NGUMU YA KUISHI...??
Duuuh...Lakini huo ni mtazamo wako siupingi
Kweli aisee especially hizi kipili pili kama zangu ni noma sana.yaani mwanaume mwenye ndevu flani hivi rafu rafu ni mtamu balaa nyie hamjui tu .mnaondoa utamu wote
Huwa inawauma sana kuachwa kuliko sisi wanaumeHivi kwanini mwanamke akileta maoni take humu huwa mnakimbilia ameachwa?
asante mkuu hata ukipinga sawa tu huo ni mtazamo wanguKuishi na mwanamke kweli yahitaji akili sana..Leo watakwambia tunataka uwe hivi, kesho tena hivi...Yaani inshort hawaeleki..... WANAUME TANGU LINI TUMEFANYA DUNIA IKAWA SEHEMU NGUMU YA KUISHI...??
Duuuh...Lakini huo ni mtazamo wako siupingi
Hivi kwanini mwanamke akileta maoni take humu huwa mnakimbilia ameachwa?
Tumsifu Yesu Kristo.Nakusalimu mpendwa
ahaaaaa acheni kutusingizia
Nazani unaongea kinyume maana kesi za wanaume kufanya vulugu na kujinyonga baada ya kuachwa ni nyingi kuliko za wanawake.Huwa inawauma sana kuachwa kuliko sisi wanaume
Milele amina. Mapendo!Tumsifu Yesu Kristo.
hata sisi hatuwaelewiAlisema mwanasaikolojia mmoja " Wewe sio mjinga kwa kushindwa kumuelewa mwanamke ila utakuwa mjinga ukijaribu kumuelewa mwanamke"
sijamponda mtu mahali mkuu ! samahani kama nimekukwaza.wewe endelea kuoga maana unit za maji si unalipia mwenyewe?