bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 667
- 1,850
- Thread starter
- #101
Scorpio utauwa watu hukuWallah we Saint Ivuga ntakupasua endapo mke wangu akiniacha. Nitakufanya cha hujawahi kufanyiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Scorpio utauwa watu hukuWallah we Saint Ivuga ntakupasua endapo mke wangu akiniacha. Nitakufanya cha hujawahi kufanyiwa.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] eti kidude haukion duuhh update jf yakoBebi kidude cha pm skioni niandikie namba yako hapa nikutext whatsapp.
Umeonaeee .. Ndio maana nakukubali sana. Kwanza angalia salio lako la M Pesa manake hii kauli yako imenifurahisha sana imenisisimua.itafahamika tu....🙄
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] eti kidude haukion duuhh update jf yako
Afu wewe shu shu langu niambie.mhhh unapenda kupm wewe[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji3] [emoji3]
haha nakuuzia kesi,umeyataka.....Scorpio utauwa watu huku
[emoji38] [emoji38] [emoji134] [emoji134]haha nakuuzia kesi,umeyataka.....
poa poa natafuta ushushushu hapa sijauona ila nimeona upo busy pm kweli kweliAfu wewe shu shu langu niambie.
ha ha haMhhh ichana hadi weweeee[emoji15] [emoji38]
Mkuu usichukulie hasira kiongozi wangu . Si utapata bebi mwingine.. Wewe mtu mkubwa bwana uongo?Wallah we Saint Ivuga ntakupasua endapo mke wangu akiniacha. Nitakufanya cha hujawahi kufanyiwa.
HAHAHAHA thatz y nimeona nikutaje uanze zoea mazingira
Kaaya aliondoka 2009 kama sijakosea.Aaa kiongozi kumbe umepita Minaki.
Mimi ndio nilichora ile ramani pale kwenye geography room.
Kaaya bado yupo Minaki?
Mimi naona wana jf members wote ni wazuri tu
Nampeleka huyu mtoto bikra lunch.. Na wewe unataka kuunga tela?poa poa natafuta ushushushu hapa sijauona ila nimeona upo busy pm kweli kweli
Nakusubiria pm bbyNampeleka huyu mtoto bikra lunch.. Na wewe unataka kuunga tela?
Pm namba yako tukutafute tutaenda wote..
hehehe nakupeleka jukwaa la chini kabisa kuleeUnishike mkono nisije potea jf kubwaa
Ha ha hujakosea.Kaaya aliondoka 2009 kama sijakosea.
Eti mkuu QUIGLEY nipo sahihi??
Nilisikia mkuu tangu 2009 - 2016 yupo Chungu.
usije ukamdanganya unampeleka kula land mark hotel kule ubungo ...kumbe hotel imegeuka kuwa hostelNampeleka huyu mtoto bikra lunch.. Na wewe unataka kuunga tela?
Pm namba yako tukutafute tutaenda wote..
Haaaa [emoji23] [emoji23] acha kumdhalilisha my bybyusije ukamdanganya unampeleka kula land mark hotel kule ubungo ...kumbe hotel imegeuka kuwa hostel
Huwez kupotea hapa. Wewe chakufanya pm namba yako tukuadd kwenye group la whatsapp uenjoy mada nzuri nzuri na maushauri ya maanaUnishike mkono nisije potea jf kubwaa
Umeona ee.Haaaa [emoji23] [emoji23] acha kumdhalilisha my byby