Wanawake hawapendani, Una deal vipi na vita ya kimya kimya ya mke, dada zako na mama yako?

Sasa utaki nimsaidie wifi ako?
 
Kuna watu wame tengana sabb hiyo
Ndugu wa jamaa wamekuja juu wakamtafutia chuma mpya tena yenye pesa nyumba ikauzwa
mimi ndio wasijaribu mana nitahakikisha kaka yao anabakia kama tulivyokutana na tufungiane tu vioo kwan sh ngap
 
mimi ndio wasijaribu mana nitahakikisha kaka yao anabakia kama tulivyokutana na tufungiane tu vioo kwan sh ngap
Jamaa ame kubaliana na aliye kuwa mkewe jumba liuzwe kiroho safi
Ndugu zake wamemtafutia chuma kipya
 
Kuolewa sio kuwa na tabia nzuri ni bahati tu ya mtu tunao watu mtaani wameolewa lkn hawajiheshimu mtaani lkn wapo kwenye ndoa na wapo wanaojiheshimu hawana ndoa,alafu punguza ukali wa maneno hao unaoita mapaka shume unaweza na wewe ukawazaa
Ukiwa na dada ambaye HAOLEKI kwa tabia mbaya, Nina maana ya haya mapaka shume yaliyozalishwa ovyo, yasiyopitwa na umbea usiruhusu mkeo awe na mawasiliano naye.
 
Ugomvi wa wanawake sio kipato au maslahi tu bali hii ni asili yao kutompenda mwanamke ngeni kuletwa au kuolewa na kaka au ntoto wao.
Haya nimeyashuhudia hadi kwa baadhi ya jamii ya kizungu.
Mama mkwe na binti zake hawampendi mke wa kijana=kaka yao
 
Hayo mambo madogo, chamsingi maswala ya wanawake achana nayo na hata huyo mkeo akiomba support achana nae, dada zako wakiomba support achana nao na hata mama yako pia, wewe endelea na mambo yako ya msingi mpaka watakapo taka usuluhishi wao wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…