Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Mi naona hawa watu ili kuwaepushia migogoro ishi mbali na mama & dada zako, mke wako asijue misaada unayotoa home kwenu na unayotoa kwao mpe yy awapeWanawake huwa hawapendani ila watabisha sana kwenye hili.
Jua kuweka mipaka baina ya familia yako na yenu(kwenu)Ni vita ambayo wao hudhani hatujui ipo lakini huwa tunajifanya washamba mambo yaende, kwa wanaume wengine huwa hawajui haya mambo wanaishia kuharibu.
Wanaume wengi wanavuta jiko pale mambo yanapoanza kukaa sawa panapokuwa na chanzo cha kipato, nguvu ya pesa inakuwepo unaanza kusaidia nyumbani na ndugu wengine.
Upande wa wanaume (baba, kaka zako, n.k) hawana tatizo, hata kaka zetu waliotutangulia kuoa wakipunguza msaada tunajua wanayopitia, suluhisho ni sisi wenyewe kuongeza juhudi kupambania tonge. shida inakuja kwa mama, dada zako na ndugu wengine wa kike !!
huwa kuna wivu wa wanawake unaanza, kina mama na dada wanaona mke anaingilia kati kwenye vitu ilivyobidi wavipate wao, hata kama hujapunguza kiasi na pengine umeongeza kuwatumia pesa huwa wanadhani mke anafaidi zaidi, inaweza tokea kwenu pesa zipo nyingi sana kina dada / mama hawana shida ya pesa lakini bado kunaweza kuwa na wivu kwamba mke analipata penzi lako kuzidi wao wanavyopendwa au walivyopendwa na waume zao.
Hata saa mbovu kuna muda ina faida, hii ishu kwa upande mwengine huwa inawanyoosha vizuri wale wake wasumbufu, yani mke awe mjuaji akutane na mama mke / mawifi konki zaidi, mambo huwa ni faya π
Hii ishu kitamaduni niliwahi kusikia ina elimu yake kwa wanawake wa Pwani lakini sikuwahi sikia kwa wanaume, Tuelimishane hapa.
Vipi Mkuu, Kuna sehemu haijaeleweka kwenye maoni yangu?Wait, what?
Mambo yapi Mkuu?Mkuu hii sio poa. Hawawezi kukwambia tu ila moyoni Wana yao
Simple tu watenganishe na wapige marufuku kuwasiliana..Ni vita ambayo wao hudhani hatujui ipo lakini huwa tunajifanya washamba mambo yaende, kwa wanaume wengine huwa hawajui haya mambo wanaishia kuharibu.
Wanaume wengi wanavuta jiko pale mambo yanapoanza kukaa sawa panapokuwa na chanzo cha kipato, nguvu ya pesa inakuwepo unaanza kusaidia nyumbani na ndugu wengine.
Upande wa wanaume (baba, kaka zako, n.k) hawana tatizo, hata kaka zetu waliotutangulia kuoa wakipunguza msaada tunajua wanayopitia, suluhisho ni sisi wenyewe kuongeza juhudi kupambania tonge. shida inakuja kwa mama, dada zako na ndugu wengine wa kike !!
huwa kuna wivu wa wanawake unaanza, kina mama na dada wanaona mke anaingilia kati kwenye vitu ilivyobidi wavipate wao, hata kama hujapunguza kiasi na pengine umeongeza kuwatumia pesa huwa wanadhani mke anafaidi zaidi, inaweza tokea kwenu pesa zipo nyingi sana kina dada / mama hawana shida ya pesa lakini bado kunaweza kuwa na wivu kwamba mke analipata penzi lako kuzidi wao wanavyopendwa au walivyopendwa na waume zao.
Hata saa mbovu kuna muda ina faida, hii ishu kwa upande mwengine huwa inawanyoosha vizuri wale wake wasumbufu, yani mke awe mjuaji akutane na mama mke / mawifi konki zaidi, mambo huwa ni faya π
Hii ishu kitamaduni niliwahi kusikia ina elimu yake kwa wanawake wa Pwani lakini sikuwahi sikia kwa wanaume, Tuelimishane hapa.
Ni sahihi Mjukuu, unaweza kuegemea upande wa ndugu zako halafu usiku Mke anakunyima vile vingine.....ππππππ
Maisha yanahitaji balansi Babu ake.
Hao viumbe ni kweli hawapatan in nature na hawaaminiani!
Naungana na Wewe kwenye hiliHao viumbe ni kweli hawapatan in nature na hawaaminiani!
Hivyo kitendo Cha mke wako ndo kuwapa Hela Tyr washajua wewe unatawaliwa na mke wako ndo anamilki Hela zako.
Finally uje utokee mzozo wa wewe na mke wako ndo utajua ndg zako Wana Sumu Kali sana Kwa mke wako.
Hii Kwa Sasa huwezi sikia maana wanajua msimamo wako na pia wanadhani utamwambia tu. wanaamini either umerogwa na mke wako. Hawawezi sema ila siku wakipata upenyenyo hasa wewe kuonyesha huna time nae nakuambia utaambiwa na Yale huyajui.
Kama dada zako na mama yako wanaweka vitu status bila shaka watakuwa hawajalelewa kwenye maadili NB: naongea hivyo kwakuwa kwetu ni pwaniWanawake complicated sana, Kuna ile tabia ya kupenda kuringishiana, Umempa mama au dada msaada kimya kimya yeye anaweka status na lengo ni ujumbe ufike kwa mke wako,
Ila ni mbinu nzuri, tuliambiwa tuishi nao kwa akili, ukitumia akili unaweza kufanikisha iwe utakavyo.
Nakadiria haujazidi miaka 25Naungana na Wewe kwenye hili
Nimeshaambiwa hayo unayosema kwamba nimepewa Limbwata na Mke wangu lakini jambo ambalo nafahamu kwamba Siku nikifa watoto wangu lazima wanyanyasike na hawa Hawa Ndugu zangu maana wao pia Wana watoto zao
Mke wangu hawezi kuwanyanyasa watoto zangu as ni watoto zake pia
Kwahiyo ndugu nawasaidia pale ninapoweza tena Kwa kiasi, lakini Mke na Watoto wangu hao ndiyo kipaumbele changu.
Na hata Mke ikitokea tumeachana Kwa sababu zozote nitahakikisha namtunza yeye na Watoto wangu hadi nitakaposikia ameolewa ama anakaa na Mwanaume mwingine
Pole sana Mkuu, seems unapitia changamoto kadhaa za Ndoa kutokana na nduguNakadiria haujazidi miaka 25
ila inawezekana tusielewane kwasababu ya tofauti ya imani zetu kwasababu kama shida sio umri basi itakuwa tatizo ni imani bila shaka wewe ni mkristoPole sana Mkuu, seems unapitia changamoto kadhaa za Ndoa kutokana na ndugu
Ndugu ni ndugu na Mke ni Mke
Hakuna wa kutakiwa kuvuka mstari kati yao
Ni mbinu nzuri ya kupunguza chuki kati yao lakini bado uwa inafeli.Mi naona hawa watu ili kuwaepushia migogoro ishi mbali na mama & dada zako, mke wako asijue misaada unayotoa home kwenu na unayotoa kwao mpe yy awape
Ndo maana kazi yao ni kukaa na watoto kuwalea. Na hao watoto wakishapata akili, anakuwa hana tena kazi ya kufanya.Mwanamke ni kiumbe hatari sana usipokuwa naye makini. Mtu ambaye anaenda bafuni kuoga lakini nywele kaacha chumbani ππ.
Na maswali ya wanawake ni ya ajabu ajabu Kila wakati ni kuuliza maswali hayana kichwa Wala miguu ukimjibu fyongo ananuna hatariπ
Haupatani na ndugu zako wa kiume? Wake zao wanachepuka wewe unafurahia?Nashukuru wifi zangu Hadi wananitambulisha michepuko Yao...π π π Sina habari...
Maisha Yao hayanihusu.Haupatani na ndugu zako wa kiume? Wake zao wanachepuka wewe unafurahia?
Hawa watu kudeal nao ni changamoto sanaNi mbinu nzuri ya kupunguza chuki kati yao lakini bado uwa inafeli.