Wanawake hebu kuweni makini na ikulu zenu kama kukiwa na harufu inakata mzuka wote

Wanawake hebu kuweni makini na ikulu zenu kama kukiwa na harufu inakata mzuka wote

Kama mtu hajisikii au hajijui si inabidi umwambie au?
Hii hutokea kwa mtu wako, ukiona mabadiliko ndipo unamwambia kuwa nahisi kuna tatizo flani hebu ukacheki..
Sasa huyu wa kuokotwa road mmh
 
Huhuuuu
Screenshot_20220928-143511_WhatsAppBusiness.jpg
 
Hugo ni mjasilia.Ali nawe u luv yo by I'm sham na ukaboka
 
Hii hutokea kwa mtu wako, ukiona mabadiliko ndipo unamwambia kuwa nahisi kuna tatizo flani hebu ukacheki..
Sasa huyu wa kuokotwa road mmh
Hata huyo wa Road mwambie itasaidia next time ukimuokota atakuwa msafi. Ni kwa faida yako pia wewe ambaye ni zoazoa😅
 
Hili tatizo limekuwa kubwa sana kuna nyuzi nyingi sana wanaume wanalalamika kuhusu hili la wanawake kunuka mbususu.

Kwa nini haukupata wazo la kumwambia mkaoge kwanza

Hata wanaume wananuka sana wachache wanaume ambao ni wasafii kwa kila kitu wengi wenu heheee sema wanawake huwabadilisha kuwa wasafi
Nyinyi sasa mnakimbilia jf kuanzisha uzi
 
Hata wanaume wananuka sana wachache wanaume ambao ni wasafii kwa kila kitu wengi wenu heheee sema wanawake huwabadilisha kuwa wasafi
Nyinyi sasa mnakimbilia jf kuanzisha uzi
Wanaume wengi wananuka midomo. Hili ni janga la kitaifa
 
Hata huyo wa Road mwambie itasaidia next time ukimuokota atakuwa msafi. Ni kwa faida yako pia wewe ambaye ni zoazoa😅
Niombe radhi kabla sijakuombea yakukute
 
Hata wanaume wananuka sana wachache wanaume ambao ni wasafii kwa kila kitu wengi wenu heheee sema wanawake huwabadilisha kuwa wasafi
Nyinyi sasa mnakimbilia jf kuanzisha uzi
🤣🤣🤣 sio kwamba tunakimbilia huku jf imekuwa kero sasa. Jitahidini usafi dada zetu tunawapenda sana na ndio maana tukisikia ile harufu huwa tunawasitili sana inabaki siri yetu. Mashine zinanywea tunatoa visingizio vya kutonyandua mbususu
 
🤣🤣🤣 sio kwamba tunakimbilia huku jf imekuwa kero sasa. Jitahidini usafi dada zetu tunawapenda sana na ndio maana tukisikia ile harufu huwa tunawasitili sana inabaki siri yetu. Mashine zinanywea tunatoa visingizio vya kutonyandua mbususu
Kukimbilia jf mshasema sana imetosha fanyeni kwa vitendo huko muwape pesa wakatibiwe acheni kulalamika bila vitendo au kutochukua hatua
 
Back
Top Bottom