sijahisi kama nasemwa bali ni mada tu nimeanzisha wala usihisi hivyo hata kidogo sina uadui wala visasi sawa my best friendlabda wew ni pesa ndo uwe unasemwa kila mahal,usiwe na tabia ya kuhisi kuwa unasemwa, kuna wengine wanaposti ili kuona watu wanamitaxamo gan,hakun MTU mwenyeakili timam anapoteza muda wake kumsema MTU,
mbona urafiki wetu umekufa je nn tatzo?Uadui ni muhimu sababu tumeachana mimi nikiachana na mtu ndo basi hata salamu sihitaji mana ishanitokeaga kuna mwanaume niliachana nae peacefully tukawa tunawasiliana tu kawaida akanza figisufigisu hadi akaniharibia kwa mwanaume niliekua nae kwenye mahusiano kwa kipindi hicho,tangu hapo nikiachana na mtu ni adui yangu hata akisema ajianze kwa gia ya salamu nitamtolea povuuuu tu ili asiendelee.
Eti eeeeh!!!yaani kama wewe mwanaume unatafuta demu mkali mpaka aliye kuacha atajiona mitakataka
huwa nakutumia wewe kama fimbo ya kumchapia ex wangu tena namkomeshaga haswaaEti eeeeh!!!
huwa nakutumia wewe kama fimbo ya kumchapia ex wangu tena namkomeshaga haswaa
hakuwezi kwa chochote hata akili
Duh... Ebanaeeee!!!unataka kusma umemsahau kale kabinti under 18 miaka 3 nyuma ccjlee
mimi binafsi tukiachana hata kwa kheri tu huwa nafuta no, no communication tena, ila ukiwa na shida I will help you kindly, tukikutana tutasalimiana vizuri tuu, lakini hatuitaji kuwa na mazoea, tuishi tu kama watu bakiUnakuta Mwanamke Hujawai Kutembea Naye Wala Kumfanyia Baya Lolote Lile Lakini Bahati Mbaya Mahusiano Yamevunjika Tu Ghafla,Hakuna Mawasiliano Pande Zote Mbili Lakini Siku Unamuona Online Umemtumia Tu Ujumbe Wa Kumsalimu Povu Linamtoka Vibaya Mno Tena Haliishii Hapo Atatoa Nyuzi Zinazokuhusu Wewe Kila Kukicha Kwenye Mitandao Ya Kijamii Na Unajaribu Kuomba Muyamalize Ili Mtoe Tofauti Zenu Bado Povu Lamtoka Je Hii Inamaanisha Nini?
Kwanini msiwe maadui ndio swaliUnakuta Mwanamke Hujawai Kutembea Naye Wala Kumfanyia Baya Lolote Lile Lakini Bahati Mbaya Mahusiano Yamevunjika Tu Ghafla,Hakuna Mawasiliano Pande Zote Mbili Lakini Siku Unamuona Online Umemtumia Tu Ujumbe Wa Kumsalimu Povu Linamtoka Vibaya Mno Tena Haliishii Hapo Atatoa Nyuzi Zinazokuhusu Wewe Kila Kukicha Kwenye Mitandao Ya Kijamii Na Unajaribu Kuomba Muyamalize Ili Mtoe Tofauti Zenu Bado Povu Lamtoka Je Hii Inamaanisha Nini?