Kwa hiyo sauti nzito bila hela ni kelele tuu🤣🤣🤣🤣Awe navyo vyote
Mwanaume unakuwaje na sauti ya kike sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo sauti nzito bila hela ni kelele tuu🤣🤣🤣🤣Awe navyo vyote
Mwanaume unakuwaje na sauti ya kike sasa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila umesema kweli mkuuHamna lolote mwanaume akiwa na mpunga lakini sauti ya wema sepetu bado mtababaika
Uzi ni wa wanawake huu ila utashangaa men ndo watakoment kwa wingi.
Unaongelea sauti bass kama yanguKama we ni mwanaume huwezi nielewa
Aisee wewe kama mimi huwa najiuliza hii sauti vp, naonaga tabu sana niwapo kwenye vikao vya majukumu katika sehemu zetu za jujipatiq riski.Mimi binafsi sauti langu nalichukia yaani unakuta siku lisauti linakuwa lizito kama umemeza kokoto, cha kushangaza eti kuna lidada limoja huwa linaniambiaga anapenda sauti yangu ilivyo yani hadi namshangaa.
Hivi mnapendea nini sauti nzito yaani inakuwa inawapa feeling gani sisi wenyewe hatupendi hii misauti nyie mnapenda.
Kuna mwingine ana video za Obama kibao ukimuuliza kwanini anasema eti anapenda sauti yake tu sasa hii misauti mizito yetu nyie iweje muipende.
Mie sikomenti chochote hapa napita kimya kimya tuUzi ni wa wanawake huu ila utashangaa men ndo watakoment kwa wingi.
Ai ai ai aiii. Usalama ndani ya boxer umeanza kukosekana.Sauti nzito sauti ya mamlaka..
Inaniongezea nyege na mdeko wakati wa kupigwa miti..navurugwa dudu ya baba chanja ikiwa ndani yangu akiwa anapiga mikito yake na kunisemea masikioni mwangu..[emoji39]..acha tu
Hiyo hiyo,,😍😍Unaongelea sauti bass kama yangu
HeheAi ai ai aiii. Usalama ndani ya boxer umeanza kukosekana.
Ujinga mtupu.It is controlling and powerful..
We love Men with Power and Control
Umenifanya nicheke sana hapa😀Hiyo hiyo,,😍😍
Dokta mbona hasira[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ujinga mtupu.
Huyo mmeo ana besi?
Wala.Dokta mbona hasira[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unawauliza swali kama lile wanalotuuliza kuhusu kupenda makalio makubwa!Mimi binafsi sauti langu nalichukia yaani unakuta siku lisauti linakuwa lizito kama umemeza kokoto, cha kushangaza eti kuna lidada limoja huwa linaniambiaga anapenda sauti yangu ilivyo yani hadi namshangaa.
Hivi mnapendea nini sauti nzito yaani inakuwa inawapa feeling gani sisi wenyewe hatupendi hii misauti nyie mnapenda.
Kuna mwingine ana video za Obama kibao ukimuuliza kwanini anasema eti anapenda sauti yake tu sasa hii misauti mizito yetu nyie iweje muipende.