Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Mnahofia kwamba tunaweza kupasha kiporo na mama wa mtoto? Au kuna kingine?Kukubali mpaka tuonyweshe kaburi la mama mtoto..
NAKAZIAβΊοΈβΊοΈ HATUOI SINGO MAZA.
Una miaka mingapi na uzoefu wa maisha! Mwanamke anachoangalia ni uhakika wa maisha! Hata kama una wanawake 1,000 na watoto 2,0000,000 ili mradi mke awe ana uhakika wa maisha! Hii ndivyo ilivyo katika maisha yetu ya sasa na hata Biblia mfalme Suleiman alikuwa na wanawake zaidi ya 1,000 sijajua watoto wangapi (1 falme 11:3).Hawapendi kabisa, kuna mmoja amefikia kusema labda kama mama ake amefariki,
Wachache wanakubali kutoka moyoni na wengine wanaangalia kama mtu ana wadhfa ila kiukweli hawapendi
Kunywa soda kwa hela yako my wangu ππUna miaka mingapi na uzoefu wa maisha! Mwanamke anachoangalia ni uhakika wa maisha! Hata kama una wanawake 1,000 na watoto 2,0000,000 ili mradi mke awe ana uhakika wa maisha! Hii ndivyo ilivyo katika maisha yetu ya sasa na hata Biblia mfalme Suleiman alikuwa na wanawake zaidi ya 1,000 sijajua watoto wangapi (1 falme 11:3). Tena wake zake hawakuwa wanawake kauzu wa mtaani! Suleimani alioa wana wa wafalme 700! Hakuna binti mbichi mwenye bikra atakayekukataa kama maokoti yapo!
π€£π€£π€£ Akizalisha utafanyaje?!Ni Sawa tu hakuna shida ila sio tunakuwa wote azalishe tena kwingine hiyo hapana aiseee
Nakutunukia kukujengea mnara kwenye roundabout ya makao makuu ya nchi Dodoma! Wewe umesema ukweli! Wiki ijayo nenda ukauzindue LamomyHao watoto wake wanazuia vipi huba langu?
Me naangalia mapenzi na huduma muhimu hayo ya watoto nitawalea kiroho safi, na mama zao hawantishi!! π€£π€£π€£
Mbona wako wengi wameolewa mume ana mtoto zaidi ya mmoja.Zaidi ya mmoja kwa kweli ni ngumu.huwezi kuwa na baby mama zaidi ya mmoja halafu utake kuoa brand new.
Ni ngumu kupata mke na hata akijilipua kukukubali ujue huyo ni kauzu hapendi wanao kiivo anaishi kwa akili tu hapo
Kwa hiyo wanakubali?Wanakubali ila huyo mtoto kama unaishi nae atakiona cha mtema kuni. Na kama huishi nae kila ukituma matumizi ananuna kama umemtukania mama yake mzazi.
Hapo hapo wanatarajia akija na mwanae umpende na kumtunza.
Wewe umekuwa msema kweli. Mungu akusimamie katika hiloNi Sawa tu hakuna shida ila sio tunakuwa wote azalishe tena kwingine hiyo hapana aiseee
Sawa dada umeongea kweli kama mwanamkeHao watoto wake wanazuia vipi huba langu?
Me naangalia mapenzi na huduma muhimu hayo ya watoto nitawalea kiroho safi, na mama zao hawantishi!! π€£π€£π€£