Wanawake hivi na nyinyi mkikuta mwanaume ana mtoto mnakataa kuolewa naye?? 🤔🤔

Wanawake hivi na nyinyi mkikuta mwanaume ana mtoto mnakataa kuolewa naye?? 🤔🤔

Kukubali mpaka tuonyweshe kaburi la mama mtoto..
Kitu usichokijua.

Mwanamke huwa ngumu kumsahau mwanaume aliyefanya naye mapenzi.

Lakini ni rahisi kwa mwanaume kumsahau mwanamke aliyefanya naye mapenzi.

Hii ni kwa sababu mwanamke anapenda kwanza halafu ndiyo anasex, wakati mwanaume ansex kwanza halafu ndiyo apende.

Mwanaume anaweza kulala na mwanamke bila kuwa na malengo naye.

Halafu mwanamke anapenda mwanaume anayeshindaniwa wakati mwanaume anapenda mwanamke asiyeshindaniwa.

Kwahiyo ni rahisi mwanamke kuoana na mwanaume mwenye mtoto kuliko mwanaume kuoana na mwanamke mwenye mtoto.
 
Sawa dada umeongea kweli kama mwanamke
Ukweli ndio huo, me nimempenda baba yao hayo mengine ya kwao wao na mama zao!!
Na mama zao wakiwafundisha ujinga, nawapiga pin hakuna kwenda kwa mama zao wana tabia mbaya wataniharibia watoto wangu ( watoto wa mume)🤣🤣🤣🤣
Me ndio maza hausi wote wako chini yangu kasoro mume wangu
 
Kitu usichokijua.

Mwanamke huwa ngumu kumsahau mwanaume aliyefanya naye mapenzi.

Lakini ni rahisi kwa mwanaume kumsahau mwanamke aliyefanya naye mapenzi.

Hii ni kwa sababu mwanamke anapenda kwanza halafu ndiyo anasex, wakati mwanaume ansex kwanza halafu ndiyo apende.

Mwanaume anaweza kulala na mwanamke bila kuwa na malengo naye.

Halafu mwanamke anapenda mwanaume anayeshindaniwa wakati mwanaume anapenda mwanamke asiyeshindaniwa.

Kwahiyo ni rahisi mwanamke kuoana na mwanaume mwenye mtoto kuliko mwanaume kuoana na mwanamke mwenye mtoto.
Mkuu ulichoongea ni sahihi, ila sio kwa wanawake wa sikuizi, labda mama zetu waliozaliwa 60s and 70s

Wanawake wa sikuiz wanafanya mapenzi na wanaume wengi sana, kukusahau ni jambo la kawaida kwake, kwanza ukionesha nia ya kugandana anakushangaa, anakuona una pigo za kizamani.

Wanawake wa sikuiz wanafanya mapenzi na wanaume wengi sana bila kuwa na malengo, unakutana nae leo kesho kutwa unapiga.

Wanawake wa sikuiz hawajui dhamani ya uchi wao, hawajui hata thamani ya penzi lao, wanagawa uchi kwa kila ampendaye, na kila akifanya hivo dhamani yao inazidi kupungua, lakini hawajali.

Zamani tuliambiwa mwanamke ukimtoa kibra hakusahau, lakini ni uongo mkubwa sana, mimi nilishawahi kuwahoji wanawake watatu wote wakasema hawakumbuki walitolewaje bikra na hata hawamkumbuki mhusika.

Yaan kiufupi sikuiz wanawake wamechukua tabia yetu wanaume ya kupenda kuwa katika mahusiano na multiple partners na kupenda kufanya nao mapenzi.

Nadhani Sikuiz hakuna utofauti wa kitabia kati ya mwanaume na mwanamke.
 
Una miaka mingapi na uzoefu wa maisha! Mwanamke anachoangalia ni uhakika wa maisha! Hata kama una wanawake 1,000 na watoto 2,0000,000 ili mradi mke awe ana uhakika wa maisha! Hii ndivyo ilivyo katika maisha yetu ya sasa na hata Biblia mfalme Suleiman alikuwa na wanawake zaidi ya 1,000 sijajua watoto wangapi (1 falme 11:3).

Tena wake zake hawakuwa wanawake kauzu wa mtaani! Suleimani alioa wana wa wafalme 700! Hakuna binti mbichi mwenye bikra atakayekukataa kama maokoto yapo!
Nakazia
 
Mbona wako wengi wameolewa mume ana mtoto zaidi ya mmoja.

Nyie uchawi mazingira ya maokoto yakiwa njema mtajifanya kukataa kataa mwanzoni baada ya hapo mnawekwa ndani vizuri tu tena brand new
Nimesema utaoa ila atakuwa tu kwa maslahi hapo.
Bora uwe na watoto wengi ila mama mmoja mtu ataelewa
Ila watoto wawili na kuendelea mama tofauti.hakuna mapenzi hapo
 
Back
Top Bottom