Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Kakudanganya nani wanapewa? Wangekuwa wanaenda ustawi wa jamii?! 🤣🤣🤣Sasa anazopewa yule si ziongezwe kwangu au matumizi hayapandi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakudanganya nani wanapewa? Wangekuwa wanaenda ustawi wa jamii?! 🤣🤣🤣Sasa anazopewa yule si ziongezwe kwangu au matumizi hayapandi
Asante kwa KUNISANUAZaidi ya mmoja kwa kweli ni ngumu, huwezi kuwa na baby mama zaidi ya mmoja halafu utake kuoa brand new.
Ni ngumu kupata mke na hata akijilipua kukukubali ujue huyo ni kauzu hapendi wanao kiivo anaishi kwa akili tu hapo.
Hata hao wachache pia hawapo 🤣🤣🤣Hakuna wa kukataa hili ,labda wachache sana
Pesa ndio kila kitu kwa mwanamke. Mwanamke anaaacha ndoa aende kuwa hawara wa mtu kisa hela. Ishu ya mtoto kama una hela na hadhi kwenye jamii hakuna mwanamke atakuwa na pingamizi.Habari ndugu wanajf?
Kuna mjadala uaendelea humu JF kuhusu single maza, wanaume kwa pamoja tumekubaliana HATUOI single maza.
Turudi kwenu wanawake, hivi na nyinyi mkikuta mwanaume ana mtoto mnakataa kuolewa naye?? 🤔🤔
Hahahahaha,sawa sawaHata hao wachache pia hawapo 🤣🤣🤣
Tunakataa km mwanaume apeche alolo
Binafsi nangalia zaidi msimamo wa mwanaume ukoje.Habari ndugu wanajf?
Kuna mjadala uaendelea humu JF kuhusu single maza, wanaume kwa pamoja tumekubaliana HATUOI single maza.
Turudi kwenu wanawake, hivi na nyinyi mkikuta mwanaume ana mtoto mnakataa kuolewa naye?? 🤔🤔
Singo maza wengi watakutana kwa mwanaume mmojaSerekale iwakutanishe singo maza na faza waoane wao ili nchi isiwe na haya masimango....
😂😂😂Kakudanganya nani wanapewa? Wangekuwa wanaenda ustawi wa jamii?! 🤣🤣🤣
Hata kama tusipokuwa na watoto bado huwa mnaolewa kwa masilahi 🤣🤣🤣Nimesema utaoa ila atakuwa tu kwa maslahi hapo.
Sikupingi mkuuPesa ndio kila kitu kwa mwanamke. Mwanamke anaaacha ndoa aende kuwa hawara wa mtu kisa hela. Ishu ya mtoto kama una hela na hadhi kwenye jamii hakuna mwanamke atakuwa na pingamizi.
Kwani nikipasha kiporo wewe unapoteza sifa ya kuwa mke wa ndoa?Binafsi nangalia zaidi msimamo wa mwanaume ukoje.
Kuna baadhi ya wanaume wanakera, unakuta kashaachana na baby mama wake ila bado wanapasha kiporo.
Kwa kisingizio cha "eti tunalea mtoto"
Ndiyo, Heshima ya ndoa itapoteaKwani nikipasha kiporo wewe unapoteza sifa ya kuwa mke wa ndoa?
Sasa si damu yangu lakini. Yaani baba nina uwezo wa kumlea akakae kwa bibi kweli 🤔Hapana ila awe anakaa kwa bibi mimi sio nani yake
Wanaume huwa tunachepuka lakini heshima na upendo kwa wake zetu uko palepaleNdiyo, Heshima ya ndoa itapotea
Huwajui wanawake wewe usijaribu hiyo utamkuta mtoto kafaSasa si damu yangu lakini. Yaani baba nina uwezo wa kumlea akakae kwa bibi kweli 🤔
Si nitakuwa namdhulumu mtoto wangu
Wewe huyoo jiraniHao watoto wake wanazuia vipi huba langu?
Me naangalia mapenzi na huduma muhimu hayo ya watoto nitawalea kiroho safi, na mama zao hawantishi!! 🤣🤣🤣