Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,058
- 14,382
Kazi kweli kweli/JobTrueTrueHata hao wachache pia hawapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunakataa km mwanaume apeche alolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli kweli/JobTrueTrueHata hao wachache pia hawapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunakataa km mwanaume apeche alolo
Kama unahofia hilo ni bora ukakataa Ndoa na Single Father.Binafsi nangalia zaidi msimamo wa mwanaume ukoje.
Kuna baadhi ya wanaume wanakera, unakuta kashaachana na baby mama wake ila bado wanapasha kiporo.
Kwa kisingizio cha "eti tunalea mtoto"
Hmmmm unajua au basi nimesahau 😹😹Mwanaume ukikutana na mwanamke ana mtoto au watoto ukimuoa na kuishi nae jua hao watoto ni sehemu ya majukumu na wajibu wako wa malezi. Mwanamke hata wajibika kulipia hata mia kwa hao watoto utatakiwa kuwalea kama watoto wako.
Upande wa pili, wanaume sisi tukiwa na watoto tunazo option, tunaweza acha mtoto kwa bibi yake yaani bibi upande wa baba au mama.
Au tunaweza kaa na mtoto kwenye nyumba zetu na mama wa kambo akalea watoto bila shida maana mzigo wa gharama tunabeba wenyewe.
So ni ngumu sana kwa mwanamke mwenye mtoto kuleta watoto waliopatikana mahusiano ya awali kwenye mahusiano mapya sababu kuna mgogoro wa kimaslahi kinyume chake inawezekana na hakuna mgogoro wa kimaslahi kwa upande wa mwanamke unless yeye awe ndie bread winner wa familia.
Miamala itasoma 0689[emoji23][emoji23][emoji23]Ongeza mahari acha kona kona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha bhasi 🤣🤣🤣Miamala itasoma 0689[emoji23][emoji23][emoji23]
Wangekua wanakataa kusingle kuwa na mama wa kambo.Habari ndugu wanajf?
Kuna mjadala uaendelea humu JF kuhusu single maza, wanaume kwa pamoja tumekubaliana HATUOI single maza.
Turudi kwenu wanawake, hivi na nyinyi mkikuta mwanaume ana mtoto mnakataa kuolewa naye?? [emoji848][emoji848]
Ndioo yes kwani yeye si mwanaume kwanza wazungu hawana hizoYule Mjerumani wako akikwambia ana mtoto utathubutu kumkazia ampeleke kwa bibi
Tuweke huu mgomo eeh😀😀Kukubali mpaka tuonyweshe kaburi la mama mtoto..
Single baba wa hivyo ni ngumu sanaWengi wanakubali na kumshawishi single Baba amtelekeze mtoto [emoji3525][emoji3525][emoji3525]
SijakuelewaWangekua wanakataa kusingle kuwa na mama wa kambo.
Wewe wazungu hawana swaga za kupeleka watoto kwa bibiNdioo yes kwani yeye si mwanaume kwanza wazungu hawana hizo
Kumbe una miakili huwa nakuchukulia mtani tani kumbe una miakili..Hata hao wachache pia hawapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunakataa km mwanaume apeche alolo
Ya kutosha 😜Kumbe una miakili huwa nakuchukulia mtani tani kumbe una miakili..