Wanawake hujifanya wana mood swings na kuitumia kutesa na kupelekesha wanaume mabwege

Wanawake hujifanya wana mood swings na kuitumia kutesa na kupelekesha wanaume mabwege

Mwanamke ni ghala la hisia, ukiwa kama mwanaume tafuta namna ya kuzibeba hizo hisia zake zisikukere na yeye asihisi kupotezewa! Hapo ndipo matumizi ya akili kwa mwanaume yanapoanzia.

Kabla ya kusema hapana hakikisha umelichanganua jambo kwa marefu na mapana
 
ukitaka kufanikiwa katika dunia hii ni kujitoa katika mapenzi ni kujitoa katika ndoa kataa ndoa jenga Afya yako ya akili ,furaha utaiona dunia ni sehemu nzur sana ila sisi tunajisifia kimwaga mabao saba duu tungejua hata usipofanya mapenz dunia watu wataongezeka .... shtuka wewe mlokole ukitaka kuuona ufalme wa mbinguni achana na ngono mapenz ndoa .....

Bila kufanya mapenzi watu wataongezeka?!!KIVIPI?
 
Back
Top Bottom