Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri nashukuru ni buheri wa afya
Gwe tataJubha jubha! 😂
Une nkamuGwe tata
Research za kuifahamu jinsia Ke bado zinaendelea?bado hamjasema
ukitaka kufanikiwa katika dunia hii ni kujitoa katika mapenzi ni kujitoa katika ndoa kataa ndoa jenga Afya yako ya akili ,furaha utaiona dunia ni sehemu nzur sana ila sisi tunajisifia kimwaga mabao saba duu tungejua hata usipofanya mapenz dunia watu wataongezeka .... shtuka wewe mlokole ukitaka kuuona ufalme wa mbinguni achana na ngono mapenz ndoa .....
Kwanini hawasemi sasa ili umalizwe??Wanawake wa hivyo mara nyingi unakuta ni upwiru tu usiomalizwa
Mwanamke akinifokea na kuniletea mambo yake sijui ya "Mood Swings" mara "Mudi Swangs", nitamuweka Kofi hilo la mwana ukome.Wanawake wa hivyo mara nyingi unakuta ni upwiru tu usiomalizwa,ndio maana wanakua na tabia za hivyo.
Hapo sijui mkuuKwanini hawasemi sasa ili umalizwe??
Amekuuliza swali ambalo ni gumu na ni la mtego! Umeuruka mtego kwa akili sana!Hapo sijui mkuu
Mkuu mimi sio kilaza😁Amekuuliza swali ambalo ni gumu na ni la mtego! Umeuruka mtego kwa akili sana!
Alitaka uingie mazima aanze kuunganisha "dots".Mkuu mimi sio kilaza😁
Hizo research hazina mwisho, hakuna maana ya kuanza kuzifanya. Utaanzaje kumtafiti mtu aliyeongea na shetani ana kwa ana tena peke yake, mazungumzo yao hayakuishia kwenye tunda tu!Research za kuifahamu jinsia Ke bado zinaendelea?bado hamjasema
Na kauli zao "niache sina mood ya kufanya chochote". Ukimuendekeza anakupanda kichwani.Unakuta janajike limenuna limevuta domo,ukifuatilia utakuta eti lilikua halina mood ya kuongea na yeyote tu.
Huu ni ukweli mtupuUmetoka kazini umechoka, umerudi nyumbani mwanamke muda wote alikuwa na furaha, lakini aliposikia Geti au mlango unabisha anabadilika upesiupesi na kujinunisha, wakati siku nzima alikuwa anacheka.
Hahaha kwamba umri ndo unaendana na kasi ya uzinziUna umri gani huo wa kujaza basi za abood tatu?