Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Sawa umechangia mkuu lakini msukuma katajwa wapi kwenye uzi?Unaona kabisa manzi ni mzungu siku unakutana nae asee msukuma ana afadhali
It's all filters
Itakua hawapendi maybeSawa umechangia mkuu lakini msukuma katajwa wapi kwenye uzi?
Sawq lkn wewe binafisi huwa unajisikiaje mkuu?Asa si ndo zimewekwa tutumie kiongozi😹
Mnajiongeza sioAsa si ndo zimewekwa tutumie kiongozi😹
No hard feelings mkuuSawa umechangia mkuu lakini msukuma katajwa wapi kwenye uzi?
Kiongozi ndo maan ya kutumia simu na feature zake binafsi Sion shidaSawq lkn wewe binafisi huwa unajisikiaje mkuu?
Si mnapenda bomboclat lazima niongeze😹😹Mnajiongeza sio
KabisaItakua hawapendi maybe
Mimi huwa nawaambia hapohapo acha tabia za kike jombaaAnd ofcourse hii tabia imesambaa mpaka kwa wanaume, kuna mshikaji nilimpiga block kwa sababu hii hii... Mtu unapost status unalamba lips huku umejiremba na filters damn!
HahahaaWanaenjoy moment
Maisha yenyewe mafupi..kila mtu atachanganyikiwa ni suala la muda tu
Lazima ukimbie au kwa sababu umetuma msg basi utakula kwa kung'atia na chumvi huna namnaKombora linatumwa utajuana nalo likifika.
Kula chuma hicho.Uzi huh umenitach kabisa kuna duu mmoja anajishahua sana kwangu mara aninyambe bila sababu kuna siku nikamtonya unataka dudu inbox domo zege wewe,kwakweli nikimuona anaedit sana picha kiasi unatetereka,nilimuanfollow insta,ikabaki fb alininyamba sana ,nikagundua huyu kakolea ila editing nyingi sasa hiv nimeshangaa bonge la tako sasa najiuliza ni mchina au??!!ingawa tako analo ila sio kivile,sasahivi picha anazotoa utafikiri mjapan nifanyeje na sijawahi kumuona live mimi nipo mkoa tofauti na yeye