Wanawake huwa mnajisikiaje ku-Edit picha zenu kisha kuzituma kwenye mitandao ya kijamii hali ukijua siyo halisi?

Wanawake huwa mnajisikiaje ku-Edit picha zenu kisha kuzituma kwenye mitandao ya kijamii hali ukijua siyo halisi?

Kuna demu hapa mtaani huwa tunamuita Irene Mapepe huwa namuona wa kawaida sana rafiki zangu walikua wakiniambia mchumba wako yule kule anapita lazima niwaletee noma.

Sasa Irene sijui akatoa wapi smartphone siku moja nimemuona mtandaoni ni mzuri kinoma yani hadi nikamtumia meseji kumuomba msamaha maana mi ndo nilimpa jina la Irene Mapepe
 
Kwenye mitandao ya kijamii zimejaa picha za wadada wengi ambazo si halisi!!

Mimi Nina ndg zangu wa kike kwenye ukoo ukimuona mtandaoni na picha zake halafu ukutane nae live lazima ukimbie.

Picha nyingi zimejaa filter editing za kutosha kiasi kwamba mtu anageuka kuwa mrembo wakati siyo.

Jambo hili huwezi kulikuta kwa mwanaume maridadi na anayejitambua!!


Hoja yangu ama swali langu huwa mnajisikiaje kuona mitandaoni unapicha nzuri zenye kuvutia lakini physically mwonekano wako ni mbingu na ardhi?View attachment 3266598
Mkuu, nje ya mada kidogo.
Huyu anaunguza nini huko nyuma, kwamba ni tafsiri ya kupigwa pasi?
 
Uzi huh umenitach kabisa kuna duu mmoja anajishahua sana kwangu mara aninyambe bila sababu kuna siku nikamtonya unataka dudu inbox domo zege wewe,kwakweli nikimuona anaedit sana picha kiasi unatetereka,nilimuanfollow insta,ikabaki fb alininyamba sana ,nikagundua huyu kakolea ila editing nyingi sasa hiv nimeshangaa bonge la tako sasa najiuliza ni mchina au??!!ingawa tako analo ila sio kivile,sasahivi picha anazotoa utafikiri mjapan nifanyeje na sijawahi kumuona live mimi nipo mkoa tofauti na yeye
Kweli we wa facebook
 
Kwenye mitandao ya kijamii zimejaa picha za wadada wengi ambazo si halisi!!

Mimi Nina ndg zangu wa kike kwenye ukoo ukimuona mtandaoni na picha zake halafu ukutane nae live lazima ukimbie.

Picha nyingi zimejaa filter editing za kutosha kiasi kwamba mtu anageuka kuwa mrembo wakati siyo.

Jambo hili huwezi kulikuta kwa mwanaume maridadi na anayejitambua!!


Hoja yangu ama swali langu huwa mnajisikiaje kuona mitandaoni unapicha nzuri zenye kuvutia lakini physically mwonekano wako ni mbingu na ardhi?View attachment 3266598
Example ni hata profile pics zao hata hapa jf. Nimefanikiwa kukutana wanawake wanna wa jf aiseeee huku kajiweka picha sijui ya kudownload kutana nae mamaaaaaa kibwengo wa asubuhi
 
Si nilivyomuona insta nikadhani nimepata kumbe nimepatikana,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila hamjui wanawake tunapitia magumu mangapi mpaka tunaamua kuedit picha zetu.
Mitaani hatutakiwi basi hata wa mitandaoni nao watushinde?
Hamnaga hiyo!

Ila mie nawapenda sana wanaume na ngai, hali yoyote atakayokutana nayo lazima ailambe.
Muhimu anazo sehemu za siri tu.
 
Ila hamjui wanawake tunapitia magumu mangapi mpaka tunaamua kuedit picha zetu.
Mitaani hatutakiwi basi hata wa mitandaoni nao watushinde?
Hamnaga hiyo!

Ila mie nawapenda sana wanaume na ngai, hali yoyote atakayokutana nayo lazima ailambe.
Muhimu anazo sehemu za siri
We dada weeeee,Hatujiiiiiiiii,🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom