Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah ila Mimi binafisi siwezi kabisaKiongozi ndo maan ya kutumia simu na feature zake binafsi Sion shida
Mkuu, nje ya mada kidogo.Kwenye mitandao ya kijamii zimejaa picha za wadada wengi ambazo si halisi!!
Mimi Nina ndg zangu wa kike kwenye ukoo ukimuona mtandaoni na picha zake halafu ukutane nae live lazima ukimbie.
Picha nyingi zimejaa filter editing za kutosha kiasi kwamba mtu anageuka kuwa mrembo wakati siyo.
Jambo hili huwezi kulikuta kwa mwanaume maridadi na anayejitambua!!
Hoja yangu ama swali langu huwa mnajisikiaje kuona mitandaoni unapicha nzuri zenye kuvutia lakini physically mwonekano wako ni mbingu na ardhi?View attachment 3266598
Kweli we wa facebookUzi huh umenitach kabisa kuna duu mmoja anajishahua sana kwangu mara aninyambe bila sababu kuna siku nikamtonya unataka dudu inbox domo zege wewe,kwakweli nikimuona anaedit sana picha kiasi unatetereka,nilimuanfollow insta,ikabaki fb alininyamba sana ,nikagundua huyu kakolea ila editing nyingi sasa hiv nimeshangaa bonge la tako sasa najiuliza ni mchina au??!!ingawa tako analo ila sio kivile,sasahivi picha anazotoa utafikiri mjapan nifanyeje na sijawahi kumuona live mimi nipo mkoa tofauti na yeye
Kikubwa uwe na utelezi wa kutosha 😎Si mnapenda bomboclat lazima niongeze😹😹
Hujampenda.Ndio maana tunapodate nao kwa mara ya kwanza wakati wa kukutana tunawaacha mataa baada ya kuona uhalisia
SawaDaah ila Mimi binafisi siwezi kabisa
Upo adi unamwagika😹😹Kikubwa uwe na utelezi wa kutosha 😎
Hapo ndio utamu penyewe hapo 😎😎Upo adi unamwagika😹😹
Si nilivyomuona insta nikadhani nimepata kumbe nimepatikana,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hujampenda.
We pambana nae hivo hivo, mkishamalizana ndio unampa ukweli wake.
Kuanza upya kazi ujue😄
Example ni hata profile pics zao hata hapa jf. Nimefanikiwa kukutana wanawake wanna wa jf aiseeee huku kajiweka picha sijui ya kudownload kutana nae mamaaaaaa kibwengo wa asubuhiKwenye mitandao ya kijamii zimejaa picha za wadada wengi ambazo si halisi!!
Mimi Nina ndg zangu wa kike kwenye ukoo ukimuona mtandaoni na picha zake halafu ukutane nae live lazima ukimbie.
Picha nyingi zimejaa filter editing za kutosha kiasi kwamba mtu anageuka kuwa mrembo wakati siyo.
Jambo hili huwezi kulikuta kwa mwanaume maridadi na anayejitambua!!
Hoja yangu ama swali langu huwa mnajisikiaje kuona mitandaoni unapicha nzuri zenye kuvutia lakini physically mwonekano wako ni mbingu na ardhi?View attachment 3266598
Ila hamjui wanawake tunapitia magumu mangapi mpaka tunaamua kuedit picha zetu.Si nilivyomuona insta nikadhani nimepata kumbe nimepatikana,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We dada weeeee,Hatujiiiiiiiii,🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila hamjui wanawake tunapitia magumu mangapi mpaka tunaamua kuedit picha zetu.
Mitaani hatutakiwi basi hata wa mitandaoni nao watushinde?
Hamnaga hiyo!
Ila mie nawapenda sana wanaume na ngai, hali yoyote atakayokutana nayo lazima ailambe.
Muhimu anazo sehemu za siri
Nisipokupata wewe, nitampata mwingine😄😄😁We dada weeeee,Hatujiiiiiiiii,🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Utanitoa roho wewe,unaonekana ni king'ang'anizi Zuchu anasubiri,halafu nikifiria ulinihadaa kwa filters sasa huko insta,🤣🤣🤣🤣🤣Nisipokupata wewe, nitampata mwingine😄😄😁
Kwani we unataka sura au mashine?Utanitoa roho wewe,unaonekana ni king'ang'anizi Zuchu anasubiri,halafu nikifiria ulinihadaa kwa filters sasa huko insta,🤣🤣🤣🤣🤣