Sangamwalogesha
Member
- Mar 10, 2025
- 57
- 57
Pengine wasukuma watani zakeWaha na wakulya au wamasai unaaapeleka wapi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengine wasukuma watani zakeWaha na wakulya au wamasai unaaapeleka wapi mkuu?
Hapo sawaPengine wasukuma watani zake
Acheni bana. Mbona wa zamani walikuwa wanatongozwa hivyohivyo tu bula haya yoteSi mbaya si ni mbadala wa Makeup jamani 😂
Msukuma kaingiaje hapo? Mbona watu wakorofi sana 😹😹😹Unaona kabisa manzi ni mzungu siku unakutana nae asee msukuma ana afadhali
It's all filters
Wewe tena 😹😹😹Kama huku tinder na badoo aisee nimepigwa sana...unadhani toto tako zuri sura ndio usiseme ...mweee kutana nae sasa...basi tuu unatomber kwa sababu hela ya nauli ulishatuma
Halafu filter mbona km sura ngumu hazikubali, ukiona filter imekubali kweli wewe ni pisi ya kwendea.. 😹Asa si ndo zimewekwa tutumie kiongozi😹
Bora ungetaja waha,wasukuma wapo vizuri sanaUnaona kabisa manzi ni mzungu siku unakutana nae asee msukuma ana afadhali
It's all filters
Wakiwa real na sisi tunakwenda nao kiuhalusia kwani tunajua hata kwenye real life hawatafakeHii uhakika
😹😹😹 khaaaaa..!!Kwani we unataka sura au mashine?
Nifunike uso na mto bhana, unakwama wapi bro 😄😄😄
😂😂😂Sawa umechangia mkuu lakini msukuma katajwa wapi kwenye uzi?
Mbona hata wewe unajiedit 😹Binafsi sijali.
Nazielewa filter naweza kukadiria uhalisia wa sura, nina macho ya rohoni.
😹😹😹 mkuu unaonekana una kiede mswede sana..!!Hii pia ni sababu mkuu. Niliwahi kutana na mdada tuliyecaht nae siku nyingi sana. Nilipomuona nilistaajabu sana.Uzuri nilimwambia
Hamna jibu Mkuu!Kwenye mitandao ya kijamii zimejaa picha za wadada wengi ambazo si halisi!!
Mimi Nina ndg zangu wa kike kwenye ukoo ukimuona mtandaoni na picha zake halafu ukutane nae live lazima ukimbie.
Picha nyingi zimejaa filter editing za kutosha kiasi kwamba mtu anageuka kuwa mrembo wakati siyo.
Jambo hili huwezi kulikuta kwa mwanaume maridadi na anayejitambua!!
Hoja yangu ama swali langu huwa mnajisikiaje kuona mitandaoni unapicha nzuri zenye kuvutia lakini physically mwonekano wako ni mbingu na ardhi?
Mwee! Nisame nauli kwa nini natomber hivyo hivyo ata kama mbaya au tako limepinda.Wewe tena 😹😹😹
Mzabzab si usamehe nauli.
Wohiiiiiii 😹😹😹Mwee! Nisame nauli kwa nini natomber hivyo hivyo ata kama mbaya au tako limepinda.
Anakaa wapi irine mapepe!Kuna demu hapa mtaani huwa tunamuita Irene Mapepe huwa namuona wa kawaida sana rafiki zangu walikua wakiniambia mchumba wako yule kule anapita lazima niwaletee noma.
Sasa Irene sijui akatoa wapi smartphone siku moja nimemuona mtandaoni ni mzuri kinoma yani hadi nikamtumia meseji kumuomba msamaha maana mi ndo nilimpa jina la Irene Mapepe
Hili la kisamaki na uti ni janga. Unakuta sistaduu wa ukweli ila sasa ukizama nae ndani unaanza kusikia harufu za ajabu ajabuNa haya ma' filter ndio yanawachelewesha kuolewa kwasababu wanajidanganya kuwa ni wazuri na wanasoko huko mtaani wanatumia muda mwingi kuringa na kubadilisha wanaume mataokeo yake wanaume wakishaanza nao mahusiano wakiwavua nguo mara moja wanachokutana nacho plus balaa la UTI na kisamaki hswarudi tena. Au wanaanza kuwatafutia sababu.