Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Unanifurahisha sana Nasta majibu mafupi na yamenyookaAsa si ndo zimewekwa tutumie kiongozi😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanifurahisha sana Nasta majibu mafupi na yamenyookaAsa si ndo zimewekwa tutumie kiongozi😹
Muhimu kujichuja maelezo tutatoa tukionana 😹😹😹Wanaume wanafanya maisha yawe magumu wakati njia rahisi zipo.
😁😁😊
Kabisa.Muhimu kujichuja maelezo tutatoa tukionana 😹😹😹
Si ndo hapo 😹😹Wale wenye sura za jeshi lazima zigome unashangaa inakimbia filter 😹
Anataka azamishe kibamia chake kwa nauli ya bodaboda 😹😹Yaan et anateseka kweli Tena ukute kielf tano
Itafahamika huko huko 😹Kabisa.
Wanakwambia mtajuana mkionana, ila yataka ujasiri ujue.
Kabisa.Itafahamika huko huko 😹
Na hakuna kumeet mpk ulepo tuhela twake tuchache hata tu laki 8 hivi 😹😹Kabisa.
Aidha unile au unifukuze.
Kabisa.Na hakuna kumeet mpk ulepo tuhela twake tuchache hata tu laki 8 hivi 😹😹
Si ndo apo 😹😹Anataka azamishe kibamia chake kwa nauli ya bodaboda 😹😹
lini?Mbona hata wewe unajiedit 😹
Hakika umetoka facebookSass fb kina utofauti gani na mitandao mingine,nyie ndio huwa mnakuwaga washamba sana,kea taarifa yako kwenye wengi ndio unapata kujua vingi ,nikuambie tu nipo mitandao mingi ila kwangu fb imenipa maujuzi mengi sana mpaka kina vitu nimechambua through fb na nikagundua kina watu wapo wapo hawajui vingi vya dunia,so wewe nimegundua ni mshamba wa mitandao
Wapi nimesema hivyo?Kwani Uzi wako inabidi uchangiwe kwa kuyachukua maneno yaleyale yalip kwenye Uzi wako?!!!
Ulipo muona tena kitaa akarudi kwenye uhalisia wake wa Irene mapepe 😀Kuna demu hapa mtaani huwa tunamuita Irene Mapepe huwa namuona wa kawaida sana rafiki zangu walikua wakiniambia mchumba wako yule kule anapita lazima niwaletee noma.
Sasa Irene sijui akatoa wapi smartphone siku moja nimemuona mtandaoni ni mzuri kinoma yani hadi nikamtumia meseji kumuomba msamaha maana mi ndo nilimpa jina la Irene Mapepe
Uko sahihi mkuuKuna njia nyingi ya ku escape reality moja wapo ni hiyo, kwa mtu makini hiyo ni lugha inayoashiria kuwa mtu huyo haaminiki ni bingwa wa ku fake.
Habari sanaUlipo muona tena kitaa akarudi kwenye uhalisia wake wa Irene mapepe 😀
Eeeeh.... Natural tunawaachia misituKwahiyo mnadhani tunataka filter?
Ndo maana hawa ma celebrity huwa tunawaangalia sana tukikutana nao mitaani sababu tunashangaa tofauti zao na picha wanazopostKwenye mitandao ya kijamii zimejaa picha za wadada wengi ambazo si halisi!!
Mimi Nina ndg zangu wa kike kwenye ukoo ukimuona mtandaoni na picha zake halafu ukutane nae live lazima ukimbie.
Picha nyingi zimejaa filter editing za kutosha kiasi kwamba mtu anageuka kuwa mrembo wakati siyo.
Jambo hili huwezi kulikuta kwa mwanaume maridadi na anayejitambua!!
Hoja yangu ama swali langu huwa w kuona amitandaoni unapicha nzuri zenye kuvutia lakini physically mwonekano wako ni mbingu na ardhi?