Wanawake jifunzeni kuwatunza na kuwaheshimu wafanyakazi wenu wa ndani yasije kuwatokea haya anayopitia mzazi mwenzangu

Mwanamke akipata power kidogo,huwa ni waovu kupitiliza,the best version ya mwanamke huwa inakuja akiwa mama yako otherwise ni shida
 
Hata hao dada wa kazi wakiolewa nao huwa ni watesaji wakubwa sana wa dada wa kazi.
 
Hio inatokea hasa mwanamke akulie kwenye maisha ya kawaida alafu aolewe sehemu ambayo kila kitu kipo ni anapokea tu, majivuno, uchoyo na dharau huwa ndo vinamuongoza
 
Kwani unashindwaje kumfanya kama ndugu yako,ni kitu gani anapunguza hapo nyumbani
Mie kwangu ni msaidizi wa kazi ambazo siwezi kufanya au nikiwa nimechoka but yule humchukulia kama msaidizi tu

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Hio inatokea hasa mwanamke akulie kwenye maisha ya kawaida alafu aolewe sehemu ambayo kila kitu kipo ni anapokea tu, majivuno, uchoyo na dharau huwa ndo vinamuongoza
Kweli kabisa, wengi wa hivyo huwa ni shida. Alokulia kwenye hela mara chache sana kukuta ana visirani na watu wengine ila wewe mpenzi wake ndo utaisoma namba, hizo deko na wivu jiandae aisee
 
Wanawake hawajuagi hata Masuala ya kiusalama wa Familia yako Dada wa kazi ana Access kubwa mno ya kufanya chochote hata akiamua kuwawekewa Sumu kwenye msosi Familia nzima mnalala mazima Safari kwa Muumba msiwatese hao watu kumbukeni ndio wameshikilia uhai wa watoto wenu muwapo nyie Makazini huko...!
 
Kweli kabisa, wengi wa hivyo huwa ni shida. Alokulia kwenye hela mara chache sana kukuta ana visirani na watu wengine ila wewe mpenzi wake ndo utaisoma namba, hizo deko na wivu jiandae aisee
Hao waliokulia kwenye hela sijawah kuwaona boss ๐Ÿ˜€ nakutana na hawa middle class ingawa sio mbaya [emoji4]
 
Hao waliokulia kwenye hela sijawah kuwaona boss ๐Ÿ˜€ nakutana na hawa middle class ingawa sio mbaya [emoji4]
madem walokulia kwenye hela wako tofauti sana, especially ukute sio muhuni, utafanya upuuzi wote, showoffs zote ila anakushangaa tu, hv unajua umaskini ndo chanzo cha chuki na visasi, na chuki na visasi ndo vinatengeneza roho mbaya. Sasa hawa hawajui hata umasikini ni nini, wanausikiaga tu
 
Mateso na roho mbaya za watu huwafanya watu wa chini wawe na nidhamu katika utafutaji

Na ndivyo ilivyo watoto/watu waliotoka katika hali ya chini asilimia kubwa huwa na nidhamu sio tu matumizi hata kimaongezi pia they are ethical, tofauti na watu waliozaliwa wakutane na mali na wanaishi kwenye hizo mali ni wachache ambao wana adabu (good ethics)
 
Roho mbaya tu ya mke wa bamkubwa nilikuwa naaminika na kupendeka kwa mshua, basi nilipata tabu ya kutosha ila nowdays anavyojifanya kunijali sasa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wala hakujali bali ni mnafiki tu tena akiona maokoto yapo ndio kabisa anakuwa mnafiki wa kiwango Cha first class
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ