Wanawake jifunzeni kwa Mbunge Catherine

Basi wanaume watageuka motivational speakers katika hili suala mpaka tukome aisee.

Cathe katukosti sana.

Ila na nyie tulizaneni viuno hivyo mnahangaika sana kuchomeka chomeka.

Mxxxiiieeeuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1483]

Kawaharibia Sana husband snatchers[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1483]

Kawaharibia Sana husband snatchers[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I really hope the wife finds peace after all that they have been through.

Katika vitu I value ni inner peace.

Without that you can never be truly happy.
 
Mkuu usitoe siri za kambi hali ikawa ngumu kuzipata hizi papuchi.

Maana mechi za ugenini ni za muhimu kujua nini kinaendelea duniani si kila siku mechi za nyumbani.
 
Wanawake naomba kabla sijaenda kwenye mada muelewe hili Kila mme wa mtu atakayekutongoza lazima atamkandia mkewe.
Hakunaga mume wa MTU ktk mila na utamaduni wa waafrika. Mambo hayo yapo nchi za mashoga na wasagaji. Afrika tuna mume wa watu. Mwanaume anaruhusiwa kuwa na mke zaidi ya mmoja ili mradi awe na uwezo wa kuimudu familia yake. Tatizo wanawake wa sasa akishaongezewa mwenzake ana leta visa, fitina, hujuma, uzushi ugomvi hadi makaburini ili atambulike yeye tu.

Rais mstaafu Mzee Mwinyi ana wake wawili Bibi Khadija na Sitti Mwinyi, Jacob Zuma wa South Africa wake wanne hakuna jipya, watu waheshimu mapenzi ya marehemu kila mwanamke apewe heshima yake. Mungu ndiye atahukumu khiyama kama mke zaidi ya mmoja hairuhusiwi na ataeleza why aliruhusu manabii wawe na mke zaidi ya mmoja ila hakuwahi kuruhusu ushoga.







 
Talaka ilikuwa mahakaman jamen
Nyie mnasema tu mapenzi acheni tu ukimpenda mtu
Wanajifariji Hawa mwanaume alimpenda Cathy,hayo mengine story za vijiwen,mie mwenyewe nategemea kuolewa mke wa pili jamaa karidhia manake ya muislam,Ila inachelewa manake mkewe mkorofi ,aliambiwa Hilo akagoma,Ila jamaa bad Niko naye licha ya kupigwa na mkewe,na juzi tu jamaa kanipiga mkewe Hadi akapelekwa police na ndugu wa mke,Ila jamaa amesimamia msimamo ye ni muislam na anahitaj ongeza mke.
 

Hapa hatuongelei kumpenda au kutompenda tunaongelea sheria za nchi
Unapodate na mtu ambaye ameoa hakikisha talaka imetoka ndo uweke mahusiano hayo wazi but kama talaka haijatoka we unajisumbua tu maana huyo ni mme wa mtu na ukumbuke kuwa issue ya talaka inachukua hatua ndefu(muda mrefu sana kutolewa)
 
Na ugomvi unaweza kuja kati sababu ya mtu mwingine kuingilia (wewe) na wewe subiri uolewe uzoeleke na uletewe wa tatu ndo utayajua maumivu ya mwenzio aliyopitia sababu yako
 

What goes around ... comes around endelea kujiona mjanja kutesa ndoa ya watu kisa umeahidiqa kuolewa but siku zaja ambazo utasaga meno

Malaya wewe
 
Huyu hatoi talaka anaongeza mke dini yake inatuhusu,hata kwa ndugu zake wote nishatambulishwa
 
Na ugomvi unaweza kuja kati sababu ya mtu mwingine kuingilia (wewe) na wewe subiri uolewe uzoeleke na uletewe wa tatu ndo utayajua maumivu ya mwenzio aliyopitia sababu yako
Hapana mie saivi Niko mkoa,yeye yuko dizim Sasa nasababishaje ugomvi hapo?mwanaume ni muislam na anasema dini yake inatuhusu,tatizo nini hapo?
 
Lakini cathy si alikuwa hajafikia kuwa mke? Ni hatua gani walikuwa nayo zaidi ya mahusiano ya kimapenzi? Na kwa vyovyote aliyezuia uwepo wa cathy ktk msiba nafikiri sio mke watakuwa ndugu wa mume......kwaivo alikuwa hawara tu kama mahawara wengine wanaoharibu ndoa za watu
 
Yaan jamaa yako kapigwa na mkewe au kapingwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…