Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Kuna Dada nilimtogonzaga akanijibu nijitaidi kumuhudumia ili anipende.
 
Well talk
Yaani ameamua kutuponda kwa ujumla tena anatuita njaa kali...anasahau kwamba yeye pia ni ke
 
Mke na malaya watu wawili tofauti, familia yako huwez kamwe kijiuliza mara mbili kutoa mahitaji lakini hawa malaya kutwa kuuza nyapu unaanzaje kuanza kumgaramia kiboya boya ivyo
 
Hiyo ni mbinu moja wapo kumweka mbali mwanaume usiyemtaka.

Unampiga mzinga unatulia.

Tatizo most men mnaona mna haki ya kuomba sex earlier kabisa in the relationship pengine hata siku ya pili kujuana ila mwanamke akikuomba hela kidogo tu... Weeeeee mnamaindiiii[emoji23][emoji23]. Na mnapenda kutangaza mkiombwa hela hahahaha mbona sisi tunawasitirii,..
 
Kama ulimpenda kweli, ungekuja hivyohvyo Arusha. Mka have fun like having dinner, kwenda mbugani, going to the camps yaani sharing different experience bila hata kumvua chupi.
 
Na hao watu wa maana unadhani wanapitakana huku jf?? [emoji23][emoji23][emoji23]

Jipe moyo dada ila huku hamna kitu. Unachekesha kweli hahahahaha
 
Ila akituma unapokea na unamuomba tena hata kama humtaki au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…