Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Wanawake jitahidini kutoweka wazi shida zenu mapema mnapoingia kwenye penzi jipya

Upendo wake unatokana na namna unavyotatua changamoto zake. Yani ataulazimisha moyo wake kukupenda kadri unavyompa vitu anavyotaka.

Mpe zaidi, akupende zaidi. Mpe kidogo, akupende kidogo. Huna uwezo wa kumpa anachotaka, na yeye hakupendi kabisa!

Nafsini mwao wanadhani hayo ni mapenzi, kumbe ki uhalisia ni Biashara. Wanajiona ni watu decent labda kwa sababu wanajishughulisha na vitega uchumi kidogo, lakini ukiangalia Metrics wanazotumia kwenye mahusiano, ni exactly the same na wanazotumia Machangudoa kwenye kazi zao.

Ukikutana na M/ke wa hivyo, we m.treat kama changudoa. Mpe anachotaka, akupe unachotaka. Huna uhitaji nae, usimpe kitu. Deal Done!
Kuna Dada nilimtogonzaga akanijibu nijitaidi kumuhudumia ili anipende.
 
Hi dear, nataka nikusahishe kama wewe ni mgeni humu, jf hua kuna ugomvi usioisha kati ya Me na Ke, ndio maana ukiona Me kaleta mada yake humu haijalishi basi Ke huicrush na Ke ni hivyo hivyo,

Kitu sijakielewa ni Ke kusapoti hiyo gender iliyokosa akili na utu, usiamini kila kinacholetwa humu, kama huyo mtoa mada unakuta mada yake ni ya kusadikika, na wengine wanapita nayo hivyo hivyo kuchangamsha genge,

Wewe kama unaitafuta ndoa kazana ila hakuna Me wa maana humu, wengi wananuka shida utosini hadi nyayoni, kwenda against your own gender hakukupi credit ya kuolewa na mwanaJF,

Thank you.
Well talk
Yaani ameamua kutuponda kwa ujumla tena anatuita njaa kali...anasahau kwamba yeye pia ni ke
 
Tafuta pesa kijana[emoji36] Hivi kweli elfu 80 ni hela ya kunung'unika adi uvunje mahusiano na mtu unayesema unampenda?Je kuhudumia familia utaweza kweli ukiwa nayo maana vya kwenye familia gharama zinatiririkaga automatically mara mtoto aumwe mke ameze mswaki yaani tafrani hahaa.
Mke na malaya watu wawili tofauti, familia yako huwez kamwe kijiuliza mara mbili kutoa mahitaji lakini hawa malaya kutwa kuuza nyapu unaanzaje kuanza kumgaramia kiboya boya ivyo
 
Hiyo ni mbinu moja wapo kumweka mbali mwanaume usiyemtaka.

Unampiga mzinga unatulia.

Tatizo most men mnaona mna haki ya kuomba sex earlier kabisa in the relationship pengine hata siku ya pili kujuana ila mwanamke akikuomba hela kidogo tu... Weeeeee mnamaindiiii[emoji23][emoji23]. Na mnapenda kutangaza mkiombwa hela hahahaha mbona sisi tunawasitirii,..
 
Kama ulimpenda kweli, ungekuja hivyohvyo Arusha. Mka have fun like having dinner, kwenda mbugani, going to the camps yaani sharing different experience bila hata kumvua chupi.
 
Umesema ukweli kiongozi na ninakusapoti 100%.. sema usishangae wadada wengi humu wanakutolea povu , wengi ni njaa kali( elewa neno njaa kali)
Wadada tubadilike tutakosa watu wa maana wa kuweka nao malengo kwa kuendekeza shida na mizinga ya kipuuzi puuzi..
Nipo hapa mawe na matusi ruksa[emoji41][emoji41]
Na hao watu wa maana unadhani wanapitakana huku jf?? [emoji23][emoji23][emoji23]

Jipe moyo dada ila huku hamna kitu. Unachekesha kweli hahahahaha
 
Hiyo ni mbinu moja wapo kumweka mbali mwanaume usiyemtaka.

Unampiga mzinga unatulia.

Tatizo most men mnaona mna haki ya kuomba sex earlier kabisa in the relationship pengine hata siku ya pili kujuana ila mwanamke akikuomba hela kidogo tu... Weeeeee mnamaindiiii[emoji23][emoji23]. Na mnapenda kutangaza mkiombwa hela hahahaha mbona sisi tunawasitirii,..
Ila akituma unapokea na unamuomba tena hata kama humtaki au sio?
 
Back
Top Bottom