Wanawake jitahidini sana kuficha 'Hobbies' zenu kwani zingine zinatutisha Wanaume na mtakosa Waume wa Kuwaoa kisha mumlaumu tu Maulana

Wanawake jitahidini sana kuficha 'Hobbies' zenu kwani zingine zinatutisha Wanaume na mtakosa Waume wa Kuwaoa kisha mumlaumu tu Maulana

Kuna Mwanamke nimempenda sana na Kutamani hadi aje kuwa Mke wangu ila nimemkuta mahala tena akibishana na Wanaume kuhusu Mabondia akina Twaha Kiduku na Dula Mbabe huku akizielezea vyema tu Ngumi na Upigaji wake GENTAMYCINE nikasema nikiwa nae Kimahusiano uhakika wa ama Mimi Kutolewa Meno, Koromelo na Bandama kwa Kipigo chake Kitakatifu ( cha Kishalubela ) au kuwahishwa Mochwari nikiwa nimeiaga dunia upo karibu mno.

Nimeamua ghafla 'Kusitisha' kumhitaji.
Nipe namba yake faster ili nijimilikishe. Nitambadili mtazamo mara moja kwa kumpa stori za namna timu ya Yanga inavyo angusha kichapo kwa kila timu inayo kutana nayo msimu huu.

Hizo stori za akina Kiduku ataachana nazo kabisa.
 
Mimi mdada yoyote anaejua mpira na magari kuliko mimi simtaki. Kuna siku nimekaa na kadada kamoja nikawa nawaza nikaombe namba, ikapita subaru acha kaanze kuichambua kuanzia injini, mfumo wa gearbox, ulaji mafuta, horsepower, rim zake mpaka na tairi low profile ni saizi gani...! By the time kanamaliza nikaaga na kuondoka zangu hata namba sikuomba tena.
Mkuu nimecheka sana kwa hi post yako.
 
laini laini sana wewe...
sisi wengine tumeoa wanawake wanaofanyakazi monchwari
Kuna Mwanamke nimempenda sana na Kutamani hadi aje kuwa Mke wangu ila nimemkuta mahala tena akibishana na Wanaume kuhusu Mabondia akina Twaha Kiduku na Dula Mbabe huku akizielezea vyema tu Ngumi na Upigaji wake GENTAMYCINE nikasema nikiwa nae Kimahusiano uhakika wa ama Mimi Kutolewa Meno, Koromelo na Bandama kwa Kipigo chake Kitakatifu ( cha Kishalubela ) au kuwahishwa Mochwari nikiwa nimeiaga dunia upo karibu mno.

Nimeamua ghafla 'Kusitisha' kumhitaji.
 
Ukimkataa mwanamke kisa kigezo hicho sio sahihi maana kila mtu ana haki ya kufanya vitu anavyovipenda ...

Muache mtu afanye ile roho inavyotaka
It's a free world , YOLO .
Mkuu yaani Mwanamke anapenda Mchezo wa Ngumi kisha anauchambua Kiustadi muda mwingine hata kwa Vitendo huyu ni wa kuwa nae Kimahusiano? Utaoa Mke au Mke Bondia kisha awe 'anakufumua' vizuri humo ndani?
 
utafiti usio rasmi unasema wanawake wanaojua mambo mengi wengi wao hawako romantic na ni magogo kwenye sita kwa sita
Kwa hiki ulichokiandika hapa Mkuu kama tuko katika Basi la Abood tunaelekea Morogoro sasa hivi tupo Ubena Zomoni.
 
utafiti usio rasmi unasema wanawake wanaojua mambo mengi wengi wao hawako romantic na ni magogo kwenye sita kwa sita
Hisia zako tu kujua mambo ni udadisi tu vile watanzania wengi wavivu wa kusoma vitabu basi ni waoga
 
Zina mantiki lakini. Ivi we Cariha mfano ukutane na mwanaume anajua mambo ya urembo kuliko wewe, utajisikiaje kuwa nae? Na sio kwamba ni profession yake hapana, ni anajua tu.
Nikikutqna naye nitafurahi na siwezi kumu judge yeye ni mtu mzima na ana uhuru wakufanya apendacho as long as ni mtu mwelewa kwangu no problem
 
Mkuu yaani Mwanamke anapenda Mchezo wa Ngumi kisha anauchambua Kiustadi muda mwingine hata kwa Vitendo huyu ni wa kuwa nae Kimahusiano? Utaoa Mke au Mke Bondia kisha awe 'anakufumua' vizuri humo ndani?
Hakufumui bhana ..
Tena unakuta akija kwako anakuwa mpole tu , hana neno mwenyewe .
 
Back
Top Bottom