Wanawake kuweni na ushirikiano kwenye tendo la ndoa


Hahahaha sawa boss
 

Hehheheheh vyote ulivyouliza mkuu mbona namfanyiaga jaman
Au ngoja nimuite aje kua shahidi wangu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanawake hisia zetu huanzia kichwani,kama kuko settled kazi huwa rahisi sana
Tatizo linakuja pale mwanaume asubui umemuita mkeo mpumbavu alafu ukirudi jion unataka akurushe roho kisawasawa
Haiwezekani kabisa hapo,nakuhakikishia utachepuka adi Yesu akirudi akukute kifuani kwa mchepuko!
 
Miaka ya 80 na 90 mna tabu... Enzi zangu 1970s nlikuw nawasha moto ujiandae usijiandae uniandie usiniandae mpak unafika...
Acheni uzungu na ujibebishaji
 
Unakaa kabisa unaogeshwa na maziwa ya mbuzi ya vuguvugu? ukitoka hapo unanuka/nukia nini?

Dunia imeshanishinda aisee!
 
Kweli wanaume mnatofautiana! Mwingine raha kwake ni kuona ukiusikilizia kisawasawa. Wanaume wengine wana hisia bwana! Akiona mwili wa kike, akasikia sauti ya kike, akaja kuona K, mambo yanaishia hapo, Kama anataka mfanye siku hizo basi anatoka akitoka kuoga mnara unasoma 4G inabaki kazi kazi.

Nothing more, nothing less.
 

Yani mwanaume unaandaliwa nini mkuu? Na wewe unataka uwe wet??? Embu acheni ufala aisee men andaaa msichana akilowa ingiza peleka moto sasa hii muandaliwe mtakuja kunyonywa trako ndo mtajua hamjui
 
Yani mwanaume unaandaliwa nini mkuu? Na wewe unataka uwe wet??? Embu acheni ufala aisee men andaaa msichana akilowa ingiza peleka moto sasa hii muandaliwe mtakuja kunyonywa trako ndo mtajua hamjui
Wewe pamoja na baadhi ya wenzako wachache naona mnapotosha lengo zuri la mtoa mada. Sijui mnafanya hivi kwa makusudi, au ni kwa sababu hamkumuelewa! Hoja hapa siyo mwanaume kuandaliwa na mwanamke! Na hata hizo porojo nyingine ulizo ziandika hapo juu sidhani kama zina mashiko.

Nilichounga mkono mimi ni kitendo cha baadhi ya wanawake kushindwa kutoa ushirikiano wawapo faragha na wapenzi/waume zao (ungekuwa ni mwanamke, nadhani ungenielewa namaanisha nini ninaposema hivi)! Hivyo jambo hilo humfanya mwanaume kukosa/kupoteza msisimko kwa mpenzi/mke wake.

Wapi nimeandika katika maelezo yangu nataka kuandaliwa na mwanamke? Ungesoma kwa umakini, ungenielewa! Mapenzi mazuri kati ya mwanamke na mwanaume, ni yale ya wote wawili kuwepo eneo la tukio kiakili na kimwili! Haileti mantiki unamuandaa mtu halafu yeye anakuangalia/ametulia tu. Wanawake wanaojitambua, huwa hawafanyi hivyo.
 
Mkuu mi nakuelewa sana asiyekuekewa amezoea kununua dada poa,yaani mini manka wangu wakati wa show anachat na simu mi huku napump tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…