Wanawake kuweni na ushirikiano kwenye tendo la ndoa

Wanawake kuweni na ushirikiano kwenye tendo la ndoa

Kweli wanaume mnatofautiana! Mwingine raha kwake ni kuona ukiusikilizia kisawasawa. Wanaume wengine wana hisia bwana! Akiona mwili wa kike, akasikia sauti ya kike, akaja kuona K, mambo yanaishia hapo, Kama anataka mfanye siku hizo basi anatoka akitoka kuoga mnara unasoma 4G inabaki kazi kazi.

Nothing more, nothing less.

Mh!
 
Sawa lakini ndio mwanamke asome gazeti au achati na simu wakati wa show,dharau hizo

Hapo sasa unakuwa wewe umeshindwa kazi,,,, Demu hawezi fanya hvo kama unapeleka moto...

Jitafakari,,,ikiwezekana achana na mapenzi fanya mambo mengine ujenge nchi..
 
wanaume wanataka maandalizi...................

wamechoka kuparamiwa bila maandalizi

Wanaume tunapungua sana...

Vijaana tumekuwa wa hovyo sana,,,Yaani kabisa analeta na uzi,,eti apapaswe nae...
 
Hapo sasa unakuwa wewe umeshindwa kazi,,,, Demu hawezi fanya hvo kama unapeleka moto...

Jitafakari,,,ikiwezekana achana na mapenzi fanya mambo mengine ujenge nchi..
Huwajui mademu wa kichaga wewe,kama umemuahidi hela baada ya show atawaza hela tu,au kesho kikoba kinavunjwa,utasugua uchubuke ***** zao
 
Back
Top Bottom