Wanawake kuweni na ushirikiano kwenye tendo la ndoa


Mh!
 
Sawa lakini ndio mwanamke asome gazeti au achati na simu wakati wa show,dharau hizo

Hapo sasa unakuwa wewe umeshindwa kazi,,,, Demu hawezi fanya hvo kama unapeleka moto...

Jitafakari,,,ikiwezekana achana na mapenzi fanya mambo mengine ujenge nchi..
 
wanaume wanataka maandalizi...................

wamechoka kuparamiwa bila maandalizi

Wanaume tunapungua sana...

Vijaana tumekuwa wa hovyo sana,,,Yaani kabisa analeta na uzi,,eti apapaswe nae...
 
Hapo sasa unakuwa wewe umeshindwa kazi,,,, Demu hawezi fanya hvo kama unapeleka moto...

Jitafakari,,,ikiwezekana achana na mapenzi fanya mambo mengine ujenge nchi..
Huwajui mademu wa kichaga wewe,kama umemuahidi hela baada ya show atawaza hela tu,au kesho kikoba kinavunjwa,utasugua uchubuke ***** zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…