Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mazoea hujengwa na wakuruhusu kujengeka ni wewe sasa tumeshazoeana miez inapita namba bado haijaseviwa. Bora kutokuruhusu mazoea kabisa kwa unaeona hamuwez kuwa vuzuriKama tumeshakua na mazoea na tupo vzuri tu namba nitazisave. Vinginevyo huwaga sihangaiki.
π tuishi nao kwa akili tuUmbwa hawa
Bado ujajibu swali ni kwanini unakuta pamoja na kwamba tunachat na inapita hata mwezi still number haujaisave hii kwanini inakuwa hivyo?Tunasave kichwani
........oooh no! kumbe ni wewe, nilikuwa naanza kuandika likatokea jina, kumbe ninayo, very sorry.........π 9878765467
Sasa ndio itategemea kama sikuwa na interest na wewe toka mwanzo nakupotezea mazima. Kinyume chake tutaendelea kuwasiliana na namba nitazisave vzuri tu.Mazoea hujengwa na wakuruhusu kujengeka ni wewe sasa tumeshazoeana miez inapita namba bado haijaseviwa. Bora kutokuruhusu mazoea kabisa kwa unaeona hamuwez kuwa vuzuri
Hahaha[emoji1787]Mimi Kuna mdada alinipenda nikiwa form6 sikuwa na time na yeye.Baadaye nikaona Bora niingie kwenye relationship na yeye.Nikatokea kumpenda Sana.Matokeo yake sasa ikifika muda wa prepo usiku Ile saa Moja kabla ya kengele ya kurudi bwenini alafu darasa letu lipo kimyaaaa tunasoma hata sindano ikidondoka unasikia anakuja ananiita jina langu Kwa Sauti kubwa nje ya darasa letu.Watu wote wanamsikia hapo.Alinivunjia heshima nikaamua kupiga chini.Hapo ndyo nilianza kutambua wanawake Wana tabia za kitoto ni nature don't take them serious.Sometime hawa wadada Wana utoto mwingi baadhi yao mtu kakuonesha hakui inakuaje baadae anaonesha anakuja kama sio utoto ni nini?
π€£π€£π€£π€£π€£Hahaha[emoji1787]Mimi Kuna mdada alinipenda nikiwa form6 sikuwa na time na yeye.Baadaye nikaona Bora niingie kwenye relationship na yeye.Nikatokea kumpenda Sana.Matokeo yake sasa ikifika muda wa prepo usiku Ile saa Moja kabla ya kengele ya kurudi bwenini alafu darasa letu lipo kimyaaaa tunasoma hata sindano ikidondoka unasikia anakuja ananiita jina langu Kwa Sauti kubwa nje ya darasa letu.Watu wote wanamsikia hapo.Alinivunjia heshima nikaamua kupiga chini.Hapo ndyo nilianza kutambua wanawake Wana tabia za kitoto ni nature don't take them serious.
Ukimtishia anajidai analia unamuonea[emoji1787]
Wahuni sio watu[emoji23][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti 3.., ina maana hizo namba nyingine zote ziko filled na watu
Ongea uharisia mzee kwa week moja kwa mwanamke huwezi kuwa na umuhimu huo at least mwezi hivi na pia inategemea Sana Kama mahusiano yameanzaje umewasevu nambaIssue ni umuhimu wa mtu
Sawa kelsea si ushajua unapendwa πSasa ndio itategemea kama sikuwa na interest na wewe toka mwanzo nakupotezea mazima. Kinyume chake tutaendelea kuwasiliana na namba nitazisave vzuri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahh wapi, huwa mnakuja vzuri mwanzon ngoja muanze kutupiga matukio [emoji2][emoji2][emoji2]Sawa kelsea si ushajua unapendwa [emoji1]
Mimi sipo hivyo πAhh wapi, huwa mnakuja vzuri mwanzon ngoja muanze kutupiga matukio [emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
π uamini toa hiyo kama