Wanawake, kwanini inawachukua muda mrefu ku-save namba ya mtu?

Wanawake, kwanini inawachukua muda mrefu ku-save namba ya mtu?

Kama tumeshakua na mazoea na tupo vzuri tu namba nitazisave. Vinginevyo huwaga sihangaiki.
Mazoea hujengwa na wakuruhusu kujengeka ni wewe sasa tumeshazoeana miez inapita namba bado haijaseviwa. Bora kutokuruhusu mazoea kabisa kwa unaeona hamuwez kuwa vuzuri
 
Mazoea hujengwa na wakuruhusu kujengeka ni wewe sasa tumeshazoeana miez inapita namba bado haijaseviwa. Bora kutokuruhusu mazoea kabisa kwa unaeona hamuwez kuwa vuzuri
Sasa ndio itategemea kama sikuwa na interest na wewe toka mwanzo nakupotezea mazima. Kinyume chake tutaendelea kuwasiliana na namba nitazisave vzuri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mwanamke yeye kwenye phonebook hajasave ,lkn kichwani amezisave namba kama 30 za wanaume tofauti tofauti- akiwa na shida na yoyote anabofya tu 1256..... Kama operator mwenye yellow page 🤭🤭🤭
 
Sio kwa wanawake tu, hata baadhi yetu sisi wanaume mashababi tuna hiyo kasumba. Mimi binafsi namba ya mrembo wangu sijaisave.
 
Sometime hawa wadada Wana utoto mwingi baadhi yao mtu kakuonesha hakui inakuaje baadae anaonesha anakuja kama sio utoto ni nini?
Hahaha[emoji1787]Mimi Kuna mdada alinipenda nikiwa form6 sikuwa na time na yeye.Baadaye nikaona Bora niingie kwenye relationship na yeye.Nikatokea kumpenda Sana.Matokeo yake sasa ikifika muda wa prepo usiku Ile saa Moja kabla ya kengele ya kurudi bwenini alafu darasa letu lipo kimyaaaa tunasoma hata sindano ikidondoka unasikia anakuja ananiita jina langu Kwa Sauti kubwa nje ya darasa letu.Watu wote wanamsikia hapo.Alinivunjia heshima nikaamua kupiga chini.Hapo ndyo nilianza kutambua wanawake Wana tabia za kitoto ni nature don't take them serious.

Ukimtishia anajidai analia unamuonea[emoji1787]
 
Hahaha[emoji1787]Mimi Kuna mdada alinipenda nikiwa form6 sikuwa na time na yeye.Baadaye nikaona Bora niingie kwenye relationship na yeye.Nikatokea kumpenda Sana.Matokeo yake sasa ikifika muda wa prepo usiku Ile saa Moja kabla ya kengele ya kurudi bwenini alafu darasa letu lipo kimyaaaa tunasoma hata sindano ikidondoka unasikia anakuja ananiita jina langu Kwa Sauti kubwa nje ya darasa letu.Watu wote wanamsikia hapo.Alinivunjia heshima nikaamua kupiga chini.Hapo ndyo nilianza kutambua wanawake Wana tabia za kitoto ni nature don't take them serious.

Ukimtishia anajidai analia unamuonea[emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nyie ndio wale mnataka mseviwe "mke wangu" au " mume wangu".
 
Back
Top Bottom