Unajiteteaje kwa mfano mkuuKuna wale wanaoacha sehemu usiyoijua. Halafu mwingine akija anaanzia hapo usipopajua na anagundua kuna mwenzake.
Ukiulizwa una mwanamke mwingine, jibu kwa akili. Kwasababu hakuna swali analouliza mwanamke bila kuwa na majibu.
Kwanini uniachie nguo ambazo sizivai? πSahivi tutakua tunakuja na ushahidi wa nguo hata 3 moja inaachwa bafuni, nyingine kabatini, nyingine uvunguni, ili ukificha ushahidi wa bafuni bado wa kabatini na uvunguni utakuumbua tu. But why tusitulie tu na mpenzi mmoja jamani?ππ€ΈββοΈ
We mhuni umenichekeshaKila akiacha Choma moto hadi aishiwe nguo
Acha zako we mbuzi πππππVitu adimu hivyo, unakuta ye kazoea kula viporo na mihogo huko alikotoka
Mams wako mlafiNaongezea hapo ladies mkikuta blue band, tray za mayai na makopo ya maziwa hasa NIDO Kwa nini mnatumia Kwa fujo kama kesho hamji tena?
Unatundika hapo kotiYule dada alikuja na picha mbili za ukutani moja alibandika sebulen nyingine akaweka chumbani. Ya sebuleni ilikuwa ya fremu ya chumbani ilikua ukutani yaani ukiibandua inachanika.
UMams wako mlafi
Afu hajui kununua NIDO
Yan Nido gram 900 inauzwa tu elf 29-33k na unatumia muda mrefu.
Sio suala la Ladies.. tutoe hapo.
Acha chaiAmesahau hapa ni JF kila mwanamke anadrive, kipato sio chini ya 1500 USD, Hawezi kushindwa kununua Nido π
U
Wahuni daah πππTunaweka ulinzi shirikishi!
Kuna mmoja aliacha khanga kwa mwanaume, sasa demu wake na jamaa alivyokuja akamuuliza hii khanga ya nani?
Jamaa akajibu, βYa kwangu navaa nikiwa nasikiliza taarabuβ π€£π€£π€£
Yule dada alikuja na picha mbili za ukutani moja alibandika sebulen nyingine akaweka chumbani. Ya sebuleni ilikuwa ya fremu ya chumbani ilikua ukutani yaani ukiibandua inachanika.
Kaka tuna akili sawa, huwa hata nikitoka kwenda mahali na-scan nyumba nzima na naweka alama zangu, nikirudi ntajua tuu kama kuna mtu kagusa kitu changu au katumia vitu vyangu, nakariri hadi level ya maji nilioacha kweny chupa ili mtu asije akaongeza kitu kibaya.Ahh nina mbinu zangu hizo aisee hatari sana.. mie hata nikienda kulewa kuna namna ya kuseti glass (nikitoka kwenda Washroom) kama imeguswa au kuwekwa kitu najua.
Mbona imekugusa sana, au we ndio ukiendaga M... Unakaanga mayai ma5 kwa mapigo as if ndio mara yako ya kwanza kuona mayaiAcha zako we mbuzi πππππ
Kuna via aina vya korokoro havikosekanagi ndaniβ¦
Unataka nimtag umuulize? Kwanza anajua silagi mayai πππMbona imekugusa sana, au we ndio ukiendaga M... Unakaanga mayai ma5 kwa mapigo as if ndio mara yako ya kwanza kuona mayai