antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Hahaha..Kuna wale wanaoacha sehemu usiyoijua. Halafu mwingine akija anaanzia hapo usipopajua na anagundua kuna mwenzake.
Ukiulizwa una mwanamke mwingine, jibu kwa akili. Kwasababu hakuna swali analouliza mwanamke bila kuwa na majibu.
Si tulikubaliana hata akikukuta tayari mtwangio umo ndani ya mbususu unaendelea kuzagamua dawa mujarab ni kukanusha?!