Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Tutajuaje π€·Na siwez kua na pisi kdma gigy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutajuaje π€·Na siwez kua na pisi kdma gigy
Wanakuwa wamenunua kiwanja.Lazima waweke "bikoni"!Aliyesema tuishi na mwanamke kwa akili hakukosea, Hawa viumbe wana mbinu nyingi za kivita Leo nawaletea hii moja iko hivii
Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni /khanga /Kyupi ππ
JAMAA YANGU ALALAMIKA, baada ya kuzagamuana na mrembo X, hakujua Kama aliacha hereni zake ndani kwake! Siku alivyokuja "main mazahausi tubii" akaanza kufanya usafi, timbwili likaanza. Alikutwa na ushahidi πππ
MIMI NILIKOSWAKOSWA, siku moja nilishangaa kukuta nguo isiyo yangu, kwenye kabati nikashangaa! Kumuuliza mhusika anasema kwani kuna shida?
AU ni njia ya ulinzi kwamba Y akiacha vitu vyake hategemei, mwanaume wake kuja na mwingine?
Eti ladies wa MMU mnaacha kwanini vitu mkitutembelea?mnavisahau au vipi? π mshawahi kusikia hilo? Na wazee wa masihara mshawahi kuachiwa vitu
Ulinzi tosha.Hakuna kuhamisha bikoni zinasoma hadi kwenye mitambo kisayansi.D
Kuepusha migogoro ya ardhi
Ndio nawajuza, alafu isijekuwa ww ni gigy mapesa πTutajuaje π€·
Wewe inatakiwa niende Mloganzila nikapandikize dyudyu nije nikubebee wife wako ndo utaniheshimu km jirani yako πππNdio nawajuza, alafu isijekuwa ww ni gigy mapesa π
maana hizi fake ID sio kabisa
Akhera madukani wanasemaje mkuuπππππhuu Uzi ngojawaje walioacha nguo
wife wangu yupi tena, kumbe nna wife na sijuiππWewe inatakiwa niende Mloganzila nikapandikize dyudyu nije nikubebee wife wako ndo utaniheshimu km jirani yako πππ
Mfyuuu!!! πππwife wangu yupi tena, kumbe nna wife na sijuiππ
Msalimieni sana huyo mke wangu mwambie awahi upwiru unakaba koo.
[emoji28][emoji28][emoji28]First born hauna uvungu wa kitanda katikati ya chaga pembeni ya Godoro? [emoji3][emoji3] basi ushahidi tutauacha hapo
We nenda uone kama hiyo mbβ’β’ ya sajari haijaota mizizi πMfyuuu!!! πππ
Nazichanga nikafanye surgery mtakoma na wake zenu
Ningekua na mbolo wangejuta!!!We nenda uone kama hiyo mbβ’β’ ya sajari haijaota mizizi π
Kumbe huwa mnataman mngekuwa wanaume mtembeze rungu?
Umesema ungekuwa na nini? Umeiitaje ππNingekua na mbolo wangejuta!!!
Acha kuntisha iote mizizi umekuwa mbuyu?!πππ
Ushauri wangu zidisheni uzalishaji πββοΈπββοΈπββοΈUmesema ungekuwa na nini? Umeiitaje ππ
mb0lo ni ya mbuzi π
We nenda uone kama haijaota mizizi.
Kwahiyo unatushaurije wenye fimbo.?
π punguzeni vizingaUshauri wangu zidisheni uzalishaji πββοΈπββοΈπββοΈ