Wanawake mjiheshimu mnapokuwa maeneo ya kazi

Wanawake mjiheshimu mnapokuwa maeneo ya kazi

Huyo ana kazi tatu lakini moja ni ya kuzubaisha watu tu. Nakumbuka nilikuwa mahali fulani kuna mzee alikuwa anajifanya ni tahira anapita na mapicha ya CCM anaonyesha kwenye Bar kila siku jioni huku anachekacheka kama miezi miwili nipo maeneo ya Buguruni nilimuona tena amewekwa mtu kati anataka kupigwa walikuwa wameshaanza kumburuta aisee zilitokea njemba sita mbavu acha zifanye usafi wa nguvu na Mzee akaondoka kiustaarabu kabisa. Wiki iliyopita nikamuona tena Kiwalani anazuga zuga tu kama Pimbi niliishia kuipongeza idara yetu. 😃😃😃
 
Achana nae,ana,wazazi ana mme na bado staff hauko mwenyewe kuna pia watu wazima na maybe kuna mabosi wake,kama hakuna anayemwambia we achana naye.
 
Nikiwa home niliwahi kuona dada mmoja anapita mapaja yote yako wazi ikabidi nikimbilie ndani nikachukue khanga ya Maza aliyokua ameianika kwenye kamba nikaenda kumvalisha yule sista alinimaindi kinoma aliniletea noma ya hatari ni kama wema wangu uliniponza kumbe aliplan siku hiyo atembee uchi
acha kamba ndugu
 
Mimi ni mdau wa kipindi cha Jambo TBC1; ukweli jana mtangazaji mdada (jina kapuni) hakuvaa vizuri, hata yeye alipata shida namna ya kukaa. Nilishangaa maana si kawaida yake. Nywele kazifunga vema kwa kilemba, lakini mapaja kayaacha nje! Sikupenda hii kitu!
 
Back
Top Bottom