Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
25-30 lakini bado hajitambui, mtu wa hivyo ni kumuacha tu kwa sababu huwezi kujua anataka nini. Huenda hiyo ni "side-job".25-30
Hajui kusoma patterns, entry point si hii hapaMtoto anautaka, kwanini msipe.
vipi mwanetu ma homeboi hatukuelewi yani
ubonge changamoto sana,Hakuna kitu sipendi kuona kama hii kitu, hivi kuna uhusiano wa wenye vitambi, vibonge na mstari wa kalio kuonekana? Unakuta mtu akiinama kidogo au shati likipanda kidogo tutwako tunachungulia njee. Utadhani hawavai nguo za ndani. shida sana
Maana nimejaribu kuwaza huenda tumbo likizuia nguo ya ndani kupanda na nyuma kunakuwa level ile ile, kama sio hivyo basi ni baadhi ya watu kutokujali.ubonge changamoto sana,
ni kundi maalum linahitaji uzi wake
Acha umbeya unataka ujue ikusaidie nini.mtoto wa kiume unakuwa mbeya watakuvisha delaOfisi yenu inadili na nini?
acha kamba nduguNikiwa home niliwahi kuona dada mmoja anapita mapaja yote yako wazi ikabidi nikimbilie ndani nikachukue khanga ya Maza aliyokua ameianika kwenye kamba nikaenda kumvalisha yule sista alinimaindi kinoma aliniletea noma ya hatari ni kama wema wangu uliniponza kumbe aliplan siku hiyo atembee uchi
NAUNGA MKONO HOJA. la sivo uzi wake ni batiliPhoto summary
Kituo cha afya mzeemnafanya kazi gani hapo kwani?