Wanawake mjiheshimu mnapokuwa maeneo ya kazi

Wanawake mjiheshimu mnapokuwa maeneo ya kazi

Huyo mchukue tafuta Pepsi itie panadol chikicha kisha ifyatulie kwenye bibi yake .........baada ya hapo mali safi kwa muhuni maana inakuwa haina bacteria tena.........
Haya maubunifu mngeyapeleka kwenye uchumi tungekuwa mbali sana ..shida ubunifu wenu kwenye mbunye tu na mizagamuano....
 
Haya maubunifu mngeyapeleka kwenye uchumi tungekuwa mbali sana ..shida ubunifu wenu kwenye mbunye tu na mizagamuano....
Tena usiombe mtoto akupe popo kanyea mbingu............utauza nyumba zote za urithi ulizonazo
 
Kwenye ofisi yenu, kafungua ofisi yake. Huo msambwanda lazima auweke kwenye engo fulani hivi ya kibiashara, pia mapaja yake lazima yawe wazi yakionekana. Lazima avae nguo fupi zenye kubana ili mshepu alionao uonekane, biashara lazima iendelee.


Biashara ni matangazo.
 
Kituo cha afya mzee
Sikuhizi naona ni kama mtindo wa manesi/wahudumu wa afya hasa wenye mishepu na mahipsi kuvaa nguo fupi zenye kubana sana. Nahisi hilo tatizo lipo kote.


Inabidi mfumi wa manesi wa zamani wa kuvaa magauni marefuuuuuuu, makubwaaaa, yenye marinda urudi.
Huu uvaaji wa nguo fupi zenye kubana sana kuonesha mahipsi kunanyanyasa wagonjwa kisaikolojia.


Ama sivyo biashara zitafanyikia huko 🤣
 
Sikuhizi naona ni kama mtindo wa manesi/wahudumu wa afya hasa wenye mishepu na mahipsi kuvaa nguo fupi zenye kubana sana. Nahisi hilo tatizo lipo kote.


Inabidi mfumi wa manesi wa zamani wa kuvaa magauni marefuuuuuuu, makubwaaaa, yenye marinda urudi.
Huu uvaaji wa nguo fupi zenye kubana sana kuonesha mahipsi kunanyanyasa wagonjwa kisaikolojia.


Ama sivyo biashara zitafanyikia huko 🤣
True words have never been spoken🤝
 
Swali la kwanza umri wako ni miaka mingapi? Swali la pili we ni mvulana au mwanaume? Ni jibu ni suluhisho sasahivi ya tatizo lako ili ufanye kazi kwa bidii.
Nina majukumu mengi na ya kuchosha akili, that makes me a man not a boy, hilo ndo jibu ninaloweza kukupatia.
 
Back
Top Bottom