Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Seen.Wanawake mliokuwa kwenye ndo muheshimu waume zenu maana wamewapa heshima kubwa ya kuwaoa na kuwaweka ndani, wanawalisha na kuwavisha punguzeni midomo, gubu, dharau, jeuri, na baadhi yenu ku-cheat.
Huku nje ngumu jamani wenzenu tunatamani hizo ndoa lakini tunakutana na magumegume tunatamani tupate wa kutoongoza, single ni shida kuna mda unataman mtu akupe maelekezo icho usifanye, kule usiende n.k
Mungu alituumba kwa pair tusidanganyane usingle ni mateso ni shida japo ndoa zingine ni changamoto ila ukipata mtu sahihi ndoa nahisi ni tamu sana.
Pengine huvutii au unatabia za ajabu ajabu.ππππdah
mbona me naenjoy kuwa singleπ
Mbona tumeshakubaliana kataa ndoaWanawake mliokuwa kwenye ndo muheshimu waume zenu maana wamewapa heshima kubwa ya kuwaoa na kuwaweka ndani, wanawalisha na kuwavisha punguzeni midomo, gubu, dharau, jeuri, na baadhi yenu ku-cheat.
Huku nje ngumu jamani wenzenu tunatamani hizo ndoa lakini tunakutana na magumegume tunatamani tupate wa kutoongoza, single ni shida kuna mda unataman mtu akupe maelekezo icho usifanye, kule usiende n.k
Mungu alituumba kwa pair tusidanganyane usingle ni mateso ni shida japo ndoa zingine ni changamoto ila ukipata mtu sahihi ndoa nahisi ni tamu sana.
πππππππKuna kenge anawekwa kwenye target soon atavuja damu mtu hapa
ππππππππLabda mchawi market value yake
Ngoja apate afu aolewe kwa harusi atawanyooosha maex zakeila atulie bwan hizi papara zitamfanya aingie cha kiume
Woooiii kumbeNgoja apate afu aolewe kwa harusi atawanyooosha maex zake
ππππππitakuaPengine huvutii au unatabia za ajabu ajabu.
ππππakati baby asiponipigia nanunaJidanganye π
kwani ukiwa single ndo hauliwiπππWatu wanakukula vizuri?
ππππππndo niniMwee utakuwa master wa masturbation
πππππheeKarib PM nipo single pia
Yani hawajui raha tuipatayo ila akili zao zilivyo mbovu wanahisi tunapenda kufokewa na kuamrishwa.!! Kwanza mahi muda wa kumfulia boksa mtoto wa mtu unautoa wapi?? π€£π€£π€£ππππdah
mbona me naenjoy kuwa singleπ
Mimi niko tofauti kabisa, napenda kutumia pesa yangu, sipendi pesa za manyanyaso. Imagine mtu km ww mzabzab kibamia eti nawe unafokea mtu πππBora wee umeongea ukweli wa mambo. Achana na hao wanaojiita independent woman wakati tunajua fika inawaumankutumia hela zao
Huyu anawachora watu hapa.πsjui alipata mume kam sikosei aliweka tangazo humu,,naona hii n marudio
π€£π€£π€£π€£ Wee nifalaaa sasa jamani kibamia changu kinahusika vipi tena.Mimi niko tofauti kabisa, napenda kutumia pesa yangu, sipendi pesa za manyanyaso. Imagine mtu km ww mzabzab kibamia eti nawe unafokea mtu πππ
Tangoz au kale kabombaππππππndo nini
imagine πππkufua majeans woooiYani hawajui raha tuipatayo ila akili zao zilivyo mbovu wanahisi tunapenda kufokewa na kuamrishwa.!! Kwanza mahi muda wa kumfulia boksa mtoto wa mtu unautoa wapi?? π€£π€£π€£